Joseph Kusaga: Tamasha la Fiesta kufanyika Dar es Salaam Disemba, namiliki Redio zote za vijana

Huwezi kuendesha kitu kisicho na faida kwa manufaa ya wengine ilihali wewe ni mfanyabiashara.

BIG NO! Anatafunga kamba huyu jamaa, duniani hakuna mwenye harakati za mshumaa. Aungue mwanga wapate wengine
 
Yes CMG wanamazuri mengi kuliko mabaya. Kama unaakili utajifunza na hasa wajisiliamali wanapaswa kujifunza namna CMG inavyo handle wafanyakazi na kuwatumia kwa faida ya pande zote.
Kweli kuna mengi ya kujifunza kutoka kwao ni kuamua kuchagua kujifunza au kuchagua kusikiliza tu makosa yao na kusbiri wapi wanapokosea.
You only see what your eyes want you to see.
 
Huwezi sema hadharani naingiza mabilion ya pesa kupitia huu mradi kwa hapa bongo!

Wengi wa Wabongo kuanzia viongoz mpaka RAIA wa kawaida huwa wamejaa roho za wivu na kwanini!
Ukitamka tu naingiza kiasi flani tayari hujuma zinaanza!

Ndio maana ukiwa na mradi wako bongo hata ukipiga vimilioni kadhaaa we lalamika umepata faida kidogo sana!!
 
umesomeka saana mkuu
 
Huwezi kuendesha kitu kisicho na faida kwa manufaa ya wengine ilihali wewe ni mfanyabiashara.

BIG NO! Anatafunga kamba huyu jamaa, duniani hakuna mwenye harakati za mshumaa. Aungue mwanga wapate wengine
Kwenye mstari wako wa mwisho hiyo inaitwa "huruma ya mshumaa, yaani mshumaa hutoa mwanga lakini huku unateketea".
 
CLOUDS FM ILIANZA MWAKA 1999 BONGO FLEVA ILIANZA 1981 NADHANI BOSI KUSAGA AMEANZA KUCHANGANYA MAFAILI .

IVI HAJUI KABLA YA CLOUDS STESHENI NYINGI ZILIKUWA ZINAPIGA BONGO FLEVA
Nitajie mwanamuziki wa bongo fleva 1981 kwa kumbu kumbu zangu miaka hiyo ni break dance ,robot ,rhumba ,chacha , regae tena ya bob marley na burning spear, highlife style kutoka nigeria ,blues na pop
Naomba ushuhuda
 
Hayuko timamu huyo Kusaga/Kukoboa
 
Yes CMG wanamazuri mengi kuliko mabaya. Kama unaakili utajifunza na hasa wajisiliamali wanapaswa kujifunza namna CMG inavyo handle wafanyakazi na kuwatumia kwa faida ya pande zote.
Amemshukuru sana Charles Kimei kwa kuwaamini na kuwapa mkopo wa millioni 40 miaka 20 plus iliyopita.

Joseph Kusaga wanaotaka kumsifu shime tumpe sifa na shukrani zake sasa hivi msisubili mpaka Mungu ampende ndio muanze unafki wenu wa sifa za marehemu.
 
hawawabanii ila kuna wasanii wengine wanaringa eti ukimuita kwenye show anataka mill 100 kiruuu c bora upige mziki tu watu wacheze
 
hawawabanii ila kuna wasanii wengine wanaringa eti ukimuita kwenye show anataka mill 100 kiruuu c bora upige mziki tu watu wacheze
Sio kwamba anaringa bali anajitambua na anatambua thamani yake. Hivi Ruby naye alivyobaniwa alikuwa anataka milion 100.
 
Anajaribu kuwafanya watu " Matomaso " yaani mfanya biashara afanye biashara isiyo na faida " kwa kipindi cha muda wa Miaka 10s .... kusaga aache kuvuta bangi
 
[emoji445][emoji445][emoji444][emoji443][emoji441][emoji441] mafanikio ni kama chupi.... Hakikisha hawajui Rangi..[emoji445][emoji445][emoji441][emoji441]
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]. Mfanyabiashara kwenye ubora wake
 
Hakuna mtu wa kufanya biashara kichaa ya bila faida ...kusaga asione watu ni watoto wadogo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…