Joseph Kusaga: Tamasha la Fiesta kufanyika Dar es Salaam Disemba, namiliki Redio zote za vijana

"...nimezungumza hadi na Mheshimiwa Rais Dkt Magufuli kwamba pengine suala ni venue..."
Maajabu ya Tanganyika na watu wake.
 

Acha kumuonea wivu Joe

Bosi haswa wa Diamond kumbe umekuwa humujui miaka yoteeeee

Ulichoandika wekea watu kideo.. sema kuanzia dk ya ngapi.. na tuambie y unaumua juu ya MD Joe na yake au niseme yao?
 
Kusaga vipi hali ya ruge anaendeleaje maana siku iz naona mnatoa sana #tbt zake kulikoni?
 
Acha kumuonea wivu Joe

Bosi haswa wa Diamond kumbe umekuwa humujui miaka yoteeeee

Ulichoandika wekea watu kideo.. sema kuanzia dk ya ngapi.. na tuambie y unaumua juu ya MD Joe na yake au niseme yao?
Yani we ndiyo zumbukuku kweli! sasa wamtishia nani hapa? Mi nimesikiliza jana na kasema kuwa ameshaongea na Mh Rais sasa nilichosema asije akatumia ukaribu wake vibaya kuzihujumu mamlaka za chini!
We unakuja hapa na mikwara yako eti nianike! Anika chupi yako...!
 

Jaman tuache roho mbaya, hivi unataka kuniambia ww ungekuwa na access ya kuonana na rais usingetumia hiyo chance kupata mtelemko flan?
 
Jaman tuache roho mbaya, hivi unataka kuniambia ww ungekuwa na access ya kuonana na rais usingetumia hiyo chance kupata mtelemko flan?
Sasa ni roho mbaya au tunaongea tu ili sheria na utaratibu vifuatwe?
 
Sasa ni roho mbaya au tunaongea tu ili sheria na utaratibu vifuatwe?

Hiyo ni roho mbaya, ww ktk maisha yako ujawahi kuomba msaada hata kama ni sehemu ambayo ilitakiwa ufate sheria? Sheria Zote za Tanzania unazifata?
 
Hahaha Kusaga AJENGE UKUMBI iwe ni Leaders au popote akafanye FIESTER hata kila siku, sisi wagonjwa wa moyo hatutaki kelele, akijenga ukumbi asisahau uwe ni sound proof pia,mlio lipia na mlioko ndani tu ndio msikie sisi hatutaki kusikia.
Naomba na waislam wakumbushwe vipaza sauti viwe ndani msikitini tu, sisi ambao hatujaenda msikitini ujumbe hautuhusu!.
 
Kwani itakiwa mara ya kwanza kuvunja sheria, acha wivu watu tule burudani
 
Kwani itakiwa mara ya kwanza kuvunja sheria, acha wivu watu tule burudani
Sio Wivu mi sijapenda kumshirikisha Mh Rais ilimradi avunje utaratibu na hili litamuharibia Mh Rais na ndiyo maana katika Post nimeandika kabisa ata uwanja wa Uhuru si fresh tu! Kwanini amtumie Mh Rais alimradi aipate Leaders? hii haijakaa sawa itaonekana Mh Rais ameweka Uswahiba mbele itamchafua kisiasa.
 
Hiyo ni roho mbaya, ww ktk maisha yako ujawahi kuomba msaada hata kama ni sehemu ambayo ilitakiwa ufate sheria? Sheria Zote za Tanzania unazifata?
Unajua mi sijaongea kwa ubaya, Lengo langu hii issue asimusishe Mh Rais! Leo ikionekana Fiesta imeenda Leaders unajua nani atatukanwa? Unajua nani atadhalilishwa? Unajua nani atafedheheswa? Ni Mh Rais hii itakaa mbaya kisiasa! itaonekana anawabeba marafiki ilimradi wavunje utaratibu! kama tamasha ata akifanyia Uwanja wa Uhuru mbona fureshi tu! ila asing'ang'ania Leaders na kibaya zaidi kamtaja mpaka Mh Rais kana kwamba kaenda kumlalamikia ilimradi apapate Leaders na hii itakuwa turufu kwa vyama vya upinzani kumchafua Mh Rais.
 
Hivi unakumbuka baada ya Fiesta kustishwa kwa kisingizio cha hospitali Gazet la Mwananchi walienda hadi kwenye hyo hosptali na kufanya mahojiano na Mganga mkuu na kusema hakuna aliyelalamikia mziki wa fiesta, hueni kuwa fiesta ilistishwa kwa hila za mtu flani na njia sahihi ilikuwa ni kuongea na Rais ili atoe ruksa yake fiesta.
 

Kwani pale leaders hizo hosp zimejengwa mwaka huu? Si maika yote zipo?
Fiesta ngapi zimefanyika, bonanza ngapi zimefanyika Mbona hakuna watu wamekuja?
Mpaka wameenda kwa mkuu means wameona Kuna figisu
 
Kwani pale leaders hizo hosp zimejengwa mwaka huu? Si maika yote zipo?
Fiesta ngapi zimefanyika, bonanza ngapi zimefanyika Mbona hakuna watu wamekuja?
Mpaka wameenda kwa mkuu means wameona Kuna figisu
Barua ilijieleza "Kutokana na malalamiko" sasa sidhani kama utakuwa sawa malalamiko mbona hayakuwa toka mwaka juzi! na Juzi manispaa imepiga marufuku kabisa tamasha lolote kufanyika pale hasa ya muziki, sijui dini ambayo sauti inakuwa kubwa kiasi kama kile
 
Mwenye ile Hospital ndiye aliandika barua kwenda manispaa kuomba ile shughuli inawabughudhi pale! embu fikiria mwenyewe sound kama ile alafu mita 150-200 kuna hospital! just be serious jomba! ukiwa Hospital tu huruhusi kupiga honi alafu mtu anafunga sound moja ambalo hatari! Inshort taarifa za serikali ni siri ningekuwekea.
 

Sasa fiesta inaenda kufanyika pale pale hahahaha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…