Pre GE2025 Joseph Mbilinyi (Sugu) ashinda uchaguzi Kanda ya Nyasa, amgaragaza Mchungaji Msigwa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

chiembe

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2015
Posts
16,859
Reaction score
28,112
Wananiita Sugu!!! Nani!!

Mbombo ngafu. Bilionea Joseph Mbilinyi aibuka kidedea. Mbowe ni fupa la mzimu, jitihada za Lissu kuunda kundi la kumuengua Mbowe uenyekiti chadema zimegonga mwamba. Kule Pambalu kasambaratishwa vipande vipande na Hezekiah Wenje, kamanda mtiifu wa Mbowe, huku Sugu akimuangusha Mch. Msigwa.

Mbowe ametumia makada wake wakongwe kujiimarisha madarakani. Sugu na Mbowe wanajuana tangu enzi ya Club Bilicanas

Pia soma: Kuelekea 2025 - Wakili Msomi Dickson Matata ashinda Uenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Magharibi

======
Sasisho

Mchungaji Peter Msigwa ampongeza Joseph Mbilinyi kwa kushinda uchaguzi, adai hakwenda CHADEMA kutafuta vyeo bali kuwatumikia wananchi.

Zaidi soma:

- Mchungaji Msigwa: Sikuingia CHADEMA kutafuta Vyeo bali Kuwatumikia Wananchi, nitaendelea kukitumikia chama Katika Jimbo lolote mtakalonihitaji!


- Mwananyasa mumchague Sugu kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA kanda
 
chaguzi byingine bana, rahisi sana, yaan wajumbe chini ya mia2 dah.....

ila wamezitafuna pesa haswa
 
Chadema imekufa!! NAMI narudisha kadi yao Wala Rushwa Hawa
 
Safi sana kwa ushindi huo ambao niliutarajia kuuona ukipatikana baada ya kuona mchungaji anaongea habari za makreti ya bia
 
Sasa chiembe kama wanajuana au hawajuani,hivi unajua au hata kuwahi kufuatilia chaguzi/chafuzi zenu za ndani au hata nje hapo kijani kweli🤔
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…