comte
JF-Expert Member
- Dec 11, 2011
- 9,019
- 6,825
sasa umechangia nini kama hujaelewa?Sasa ulitaka kusema nini?
Mbona hueleweki?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sasa umechangia nini kama hujaelewa?Sasa ulitaka kusema nini?
Mbona hueleweki?
Mmmh, Ili mradi tu umeingiza buku 7 kwa post kwa siku.Matokeo ya Uchaguzi wa Kanda ya Nyasa.Joseph Osmond Mbilinyi (SUGU) amepata kura 54 sawa asilimia 50.94Peter Simon Msigwa amepata kura 52 sawa na asimilia 49.05
Mnatukana wenzenu hovyo imagine mtu anatangazwa mshindi uchaguzi wa ndani lakini bado mnatukanana sio utoto nani awape nchi nyieAkili huna, Mbowe ndio ameibuwa vijana wengi unaoona wanashine.
Wewe na Juma Lokole mna tofauti gani?Mnatukana wenzenu hovyo imagine mtu anatangazwa mshindi uchaguzi wa ndani lakini bado mnatukanana sio utoto nani awape nchi nyie
.Tutakaa pale miaka 14440
Tukanananeni kwanza hatuwezi kuwaachia nchi akina mfalme mbowe miaka 20 yupooo 10 yuupoooWewe na Juma Lokole mna tofauti gani?
Fuseeki.