Pre GE2025 Joseph Mbilinyi (Sugu) ashinda uchaguzi Kanda ya Nyasa, amgaragaza Mchungaji Msigwa

Pre GE2025 Joseph Mbilinyi (Sugu) ashinda uchaguzi Kanda ya Nyasa, amgaragaza Mchungaji Msigwa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Wananiita Sugu!!! Nani!!

Mbombo ngafu. Bilionea Joseph Mbilinyi aibuka kidedea. Mbowe ni fupa la mzimu, jitihada za Lissu kuunda kundi la kumuengua Mbowe uenyekiti chadema zimegonga mwamba. Kule Pambalu kasambaratishwa vipande vipande na Hezekiah Wenje, kamanda mtiifu wa Mbowe, huku Sugu akimuangusha Mch. Msigwa.

Mbowe ametumia makada wake wakongwe kujiimarisha madarakani. Sugu na Mbowe wanajuana tangu enzi ya Club Bilicanas
View attachment 3003051
Umevaa dera na bukitaa unapiga samasoti
 
Mpunga wa balozi wa USA siyo mchezo. Nasikia mpunga ulitembea balaa yaani hao 120 wajumbe wamelamba dume balaa
Hii sijui ni akili ya wapi....yaani kura 52 kwa 54 bado unaona hamna fairness. Stupid!
 
Hii sijui ni akili ya wapi....yaani kura 52 kwa 54 bado unaona hamna fairness. Stupid!
Yaani hizo mbili mamluki kaka, yaani hao wajumbe wawili wamelamba mpunga mrefu, yaani jamaa wamekula life kupitia kwa sugu aka moto chinj
 
Wananiita Sugu!!! Nani!!

Mbombo ngafu. Bilionea Joseph Mbilinyi aibuka kidedea. Mbowe ni fupa la mzimu, jitihada za Lissu kuunda kundi la kumuengua Mbowe uenyekiti chadema zimegonga mwamba. Kule Pambalu kasambaratishwa vipande vipande na Hezekiah Wenje, kamanda mtiifu wa Mbowe, huku Sugu akimuangusha Mch. Msigwa.

Mbowe ametumia makada wake wakongwe kujiimarisha madarakani. Sugu na Mbowe wanajuana tangu enzi ya Club Bilicanas

Pia soma: Kuelekea 2025 - Wakili Msomi Dickson Matata ashinda Uenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Magharibi

======
Sasisho

Mchungaji Peter Msigwa ampongeza Joseph Mbilinyi kwa kushinda uchaguzi, adai hakwenda CHADEMA kutafuta vyeo bali kuwatumikia wananchi.

Zaidi soma: Mchungaji Msigwa: Sikuingia CHADEMA kutafuta Vyeo bali Kuwatumikia Wananchi, nitaendelea kukitumikia chama Katika Jimbo lolote mtakalonihitaji!
Chadema kati ya Msigwa na Sugu wameamua kuchagua Sugu.

Kama Taifa tuna safari ndefu sana.
 
Chadema kati ya Msigwa na Sugu wameamua kuchagua Sugu.

Kama Taifa tuna safari ndefu sana.
Watu mnasahau kuwa hawa wenyeviti ndio watakiongoza chama wakati wa chaguzi za mwishoni mwaka huu na ujao. Hawa wanapaswa kuwa na ushawishi mkubwa na uwezo wa kipesa wa kubeba baadhi ya gharama zinazoendana na hizo chaguzi. Sugu anazo hizo sifa.

Msigwa ameongoza kwa term mbili na loyalty yake kwa chama haina shaka. Kitu kingine ni kuwa hasiti kutofautiana na viongozi wa chama chake ( Ngorongoro n.k.) kama ataona wanakosea. Integrity hiyo itasaidia sana kuhakikisha kuwa Sugu na wengine wanabaki kwenye reli.

Ni matokeo mazuri kwa Chadema.

Amandla...
 
Sugu ataapishwa kuwa Mwenyekiti wa Kanda ya Nyasa na kuanzia kazi rasmi, na agenda yake ya Kwanza ni kujenga ofisi za Kanda.
Atakuwa anakosea. Ajenda yake ya kwanza inatakiwa kuhakikisha kuwa chama chake kina wagombea wazuri na wanaokubalika katika chaguzi za mwaka huu na ujao.

Amandla...
 
Watu mnasahau kuwa hawa wenyeviti ndio watakiongoza chama wakati wa chaguzi za mwishoni mwaka huu na ujao. Hawa wanapaswa kuwa na ushawishi mkubwa na uwezo wa kipesa wa kubeba baadhi ya gharama zinazoendana na hizo chaguzi. Sugu anazo hizo sifa.

Msigwa ameongoza kwa term mbili na loyalty yake kwa chama haina shaka. Kitu kingine ni kuwa hasiti kutofautiana na viongozi wa chama chake ( Ngorongoro n.k.) kama ataona wanakosea. Integrity hiyo itasaidia sana kuhakikisha kuwa Sugu na wengine wanabaki kwenye reli.

Ni matokeo mazuri kwa Chadema.

Amandla...
Sikuwahi kujua kama CHADEMA nacho ni Chama Cha Kiboya hivi, yaan honestly Unawekewa Sugu na Msigwa Unachagua sugu? Naiona ACT iki-shine ukanda huo! Haki hao Wajumbe Ukanda huo ni Vilaza sana.

CHADEMA wajitathmini, kuna namna ya kugawanyika, inamaana kile Sugu alichokuwa akiongea akionyesha maneno ya dharau, kashfa na uadui wa wazi wazi ni maneno ya ndani ya chama. Pia kuhusu kusema chama hakimuaminini maneno ya ndani ya chama japo yalitoka mdomon mwa Sugu.
 
Nikiwaangalia hawa jamaa kwamba wanataka waongoze nchi nasema hawa hawa ambao hata uchaguzi wanatukanana kabla na baada ya uchaguzi yaani wanaojiona ni bora kuliko wenzao kisa wako kundi flani ni wengi
 
Back
Top Bottom