Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Wajikute tu.Wanagombea kuwatumikia wananchi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wajikute tu.Wanagombea kuwatumikia wananchi.
Na Mwenyekiti awe Tundu Lissu na Katibu Mkuu HecheMsigwa anastahili kwenda juu kitaifa. Apewe umakamu Mwenyekiti bara.
Umevaa dera na bukitaa unapiga samasotiWananiita Sugu!!! Nani!!
Mbombo ngafu. Bilionea Joseph Mbilinyi aibuka kidedea. Mbowe ni fupa la mzimu, jitihada za Lissu kuunda kundi la kumuengua Mbowe uenyekiti chadema zimegonga mwamba. Kule Pambalu kasambaratishwa vipande vipande na Hezekiah Wenje, kamanda mtiifu wa Mbowe, huku Sugu akimuangusha Mch. Msigwa.
Mbowe ametumia makada wake wakongwe kujiimarisha madarakani. Sugu na Mbowe wanajuana tangu enzi ya Club Bilicanas
View attachment 3003051
Hii sijui ni akili ya wapi....yaani kura 52 kwa 54 bado unaona hamna fairness. Stupid!Mpunga wa balozi wa USA siyo mchezo. Nasikia mpunga ulitembea balaa yaani hao 120 wajumbe wamelamba dume balaa
Mkuu nadhani ingekuwa vyema ungerudiwa round ya pili, maana gape ni ndogo sanatofauti ndogo sana..
54 kwa 52..
Msigwa naye ni mshindi kumbe
Yaani hizo mbili mamluki kaka, yaani hao wajumbe wawili wamelamba mpunga mrefu, yaani jamaa wamekula life kupitia kwa sugu aka moto chinjHii sijui ni akili ya wapi....yaani kura 52 kwa 54 bado unaona hamna fairness. Stupid!
Next ni kuwang'oa wakoloni weusi (CCM) madarakani come 2025. Au wewe unasemaje mkuu?Haya sasa What is Next?
hiyo itakuwa sio demokrasia, demokrasia lazima ushindani uonekane. vijana acheni kupenda msererekoWasigombee na hao vijana, wapishe hizo nafasi
Sawa kaka dalalihiyo itakuwa sio demokrasia, demokrasia lazima ushindani uonekane. vijana acheni kupenda mserereko
Hakuna kitu kama hicho!Wote ni washindi ✌️✌️✌️
Ushindi bi Ushindi Mura hata iwe kura moja ni kugaragazaMtoa mada umeandika kishabiki sana. Ukisoma taarifa ya ndani, mambo ni tofauti kabisa. Kura 54 kwa 52 ndiyo kumgaragaza!!
Chadema kati ya Msigwa na Sugu wameamua kuchagua Sugu.Wananiita Sugu!!! Nani!!
Mbombo ngafu. Bilionea Joseph Mbilinyi aibuka kidedea. Mbowe ni fupa la mzimu, jitihada za Lissu kuunda kundi la kumuengua Mbowe uenyekiti chadema zimegonga mwamba. Kule Pambalu kasambaratishwa vipande vipande na Hezekiah Wenje, kamanda mtiifu wa Mbowe, huku Sugu akimuangusha Mch. Msigwa.
Mbowe ametumia makada wake wakongwe kujiimarisha madarakani. Sugu na Mbowe wanajuana tangu enzi ya Club Bilicanas
Pia soma: Kuelekea 2025 - Wakili Msomi Dickson Matata ashinda Uenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Magharibi
======
Sasisho
Mchungaji Peter Msigwa ampongeza Joseph Mbilinyi kwa kushinda uchaguzi, adai hakwenda CHADEMA kutafuta vyeo bali kuwatumikia wananchi.
Zaidi soma: Mchungaji Msigwa: Sikuingia CHADEMA kutafuta Vyeo bali Kuwatumikia Wananchi, nitaendelea kukitumikia chama Katika Jimbo lolote mtakalonihitaji!
Watu mnasahau kuwa hawa wenyeviti ndio watakiongoza chama wakati wa chaguzi za mwishoni mwaka huu na ujao. Hawa wanapaswa kuwa na ushawishi mkubwa na uwezo wa kipesa wa kubeba baadhi ya gharama zinazoendana na hizo chaguzi. Sugu anazo hizo sifa.Chadema kati ya Msigwa na Sugu wameamua kuchagua Sugu.
Kama Taifa tuna safari ndefu sana.
Atakuwa anakosea. Ajenda yake ya kwanza inatakiwa kuhakikisha kuwa chama chake kina wagombea wazuri na wanaokubalika katika chaguzi za mwaka huu na ujao.Sugu ataapishwa kuwa Mwenyekiti wa Kanda ya Nyasa na kuanzia kazi rasmi, na agenda yake ya Kwanza ni kujenga ofisi za Kanda.
Lumumba FC mmevulugwa mmezoea kutoa mndukuUmeshainama ? Mimi nimeshaupasha
Sikuwahi kujua kama CHADEMA nacho ni Chama Cha Kiboya hivi, yaan honestly Unawekewa Sugu na Msigwa Unachagua sugu? Naiona ACT iki-shine ukanda huo! Haki hao Wajumbe Ukanda huo ni Vilaza sana.Watu mnasahau kuwa hawa wenyeviti ndio watakiongoza chama wakati wa chaguzi za mwishoni mwaka huu na ujao. Hawa wanapaswa kuwa na ushawishi mkubwa na uwezo wa kipesa wa kubeba baadhi ya gharama zinazoendana na hizo chaguzi. Sugu anazo hizo sifa.
Msigwa ameongoza kwa term mbili na loyalty yake kwa chama haina shaka. Kitu kingine ni kuwa hasiti kutofautiana na viongozi wa chama chake ( Ngorongoro n.k.) kama ataona wanakosea. Integrity hiyo itasaidia sana kuhakikisha kuwa Sugu na wengine wanabaki kwenye reli.
Ni matokeo mazuri kwa Chadema.
Amandla...
Lisu huyuhuyu anayechangisha pesa kununuwa gari jeuri ya kuanzisha chama aitowe wapi?Lissu atahama Chadema, ataunda chama chake