econonist
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 20,189
- 29,663
Lissu ndio Mwenyekiti wetu wa chama.Nasikia Lissu kesho anaandaa mkutano kutangaza kujiondoa chadema yeye na genge lake, aende, hicho chama sio cha alizeti, ni cha kahawa na ndizi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lissu ndio Mwenyekiti wetu wa chama.Nasikia Lissu kesho anaandaa mkutano kutangaza kujiondoa chadema yeye na genge lake, aende, hicho chama sio cha alizeti, ni cha kahawa na ndizi
Licha ya kununua wapiga kura yaani ushindi wenyewe ni mwembamba namna hii. Kumbe Msigwa ni Baba lao Kanda ya Nyasa, tumpe maua yake.tofauti ndogo sana..
54 kwa 52..
Msigwa naye ni mshindi kumbe
Wamepiga kweli kweli. Baadhi wamepata mjengo kila mmoja. Nani atakataa mshiko kama huo.chaguzi byingine bana, rahisi sana, yaan wajumbe chini ya mia2 dah.....
ila wamezitafuna pesa haswa![]()
TAKUKURU haihusiki na CHADEMA, kwani hao wanajimaliza wenyewe. Maana katika chaguzi kuu zilizopita CHADEMA ilijibainisha kama wapinga RUSHWA, leo wao ndio wala RUSHWA. Hoja ya kuwabwaga 2025 ni rahisi sanaTAKUKURU walikuwa wapi?
Mpunga halafu ashinde kwa kura mbili?Mpunga wa balozi wa USA siyo mchezo. Nasikia mpunga ulitembea balaa yaani hao 120 wajumbe wamelamba dume balaa
Political supremacy. Unakuwa na mamlaka Kwa wenyeviti wa mkoa ndani ya Kanda yako. Unakuwa na nguvu na mamlaka ndani ya chama. Sugu anastahili.Mbona kinagombaniwa sasa, kumbe wanagombania patupu..... Basi sawa
Pccb Haina mipakaTAKUKURU haihusiki na CHADEMA, kwani hao wanajimaliza wenyewe. Maana katika chaguzi kuu zilizopita CHADEMA ilijibainisha kama wapinga RUSHWA, leo wao ndio wala RUSHWA. Hoja ya kuwabwaga 2025 ni rahisi sana
PoshoMbona kinagombaniwa sasa, kumbe wanagombania patupu..... Basi sawa
Rushwa ipo wapi?. Yani mnahangaika na uongo kuhusu CHADEMA ila ukweli wa ripoti ya CAG au ufisadi kwenye Ziara za Makonda mmekalia kimya. Kweli nyie wanafiki.TAKUKURU haihusiki na CHADEMA, kwani hao wanajimaliza wenyewe. Maana katika chaguzi kuu zilizopita CHADEMA ilijibainisha kama wapinga RUSHWA, leo wao ndio wala RUSHWA. Hoja ya kuwabwaga 2025 ni rahisi sana
wakati mie nagombea kura za maoni wajumbe jimboni walikua 888🐒Wajumbe ni Viongozi wa kuu wa mkoa.
Maana ya TAKUKURU ni nini?TAKUKURU haihusiki na CHADEMA, kwani hao wanajimaliza wenyewe. Maana katika chaguzi kuu zilizopita CHADEMA ilijibainisha kama wapinga RUSHWA, leo wao ndio wala RUSHWA. Hoja ya kuwabwaga 2025 ni rahisi sana
Ndiyo mwanangu yaani wanyetishaji wanasema ilikuwa kufa kupona. Maana sugu aka moto chini kaahidiwa kumwagiwa mipesa na balozi wa usa kuoitia NGO ya mbowe.Mpunga halafu ashinde kwa kura mbili?
Wanagombea kuwatumikia wananchi.Mbona kinagombaniwa sasa, kumbe wanagombania patupu..... Basi sawa
Wananiita sugu ,naniiiWananiita Sugu!!! Nani!!
Mbombo ngafu. Bilionea Joseph Mbilinyi aibuka kidedea. Mbowe ni fupa la mzimu, jitihada za Lissu kuunda kundi la kumuengua Mbowe uenyekiti chadema zimegonga mwamba. Kule Pambalu kasambaratishwa vipande vipande na Hezekiah Wenje, kamanda mtiifu wa Mbowe, huku Sugu akimuangusha Mch. Msigwa.
Mbowe ametumia makada wake wakongwe kujiimarisha madarakani. Sugu na Mbowe wanajuana tangu enzi ya Club Bilicanas
View attachment 3003051