shinyangakwetu
JF-Expert Member
- Jun 25, 2015
- 2,487
- 2,394
lazma mmoja awe mshindi.tofauti ndogo sana..
54 kwa 52..
Msigwa naye ni mshindi kumbe
msigwa subiri huko mbeleni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
lazma mmoja awe mshindi.tofauti ndogo sana..
54 kwa 52..
Msigwa naye ni mshindi kumbe
Unaacha kuwaona akina tiielippii,yuupiidiipii,eisiiitiii na makorokocho mengine unawaona five star(Chadema) lazima utakuwa umekula mlungula kuongea haya🤣Chadema ni small branch ya CCM 😃😃😃😃
Vijana wengi wakiachiwa hawachelewi kuuza mipango kwa adui.Hawa watu walishajipata, waachie hivyo viti na vijana wafaidi nchi.....
Kumbe kuna kufaidi nchi!Hawa watu walishajipata, waachie hivyo viti na vijana wafaidi nchi.....
Wishful thinking.Lissu atahama Chadema, ataunda chama chake
Hongera Sugu kwa ushindi huo na pia hongera Msigwa kwa kuonyesha ushindani mkubwa.Wananiita Sugu!!! Nani!!
Mbombo ngafu. Bilionea Joseph Mbilinyi aibuka kidedea. Mbowe ni fupa la mzimu, jitihada za Lissu kuunda kundi la kumuengua Mbowe uenyekiti chadema zimegonga mwamba. Kule Pambalu kasambaratishwa vipande vipande na Hezekiah Wenje, kamanda mtiifu wa Mbowe, huku Sugu akimuangusha Mch. Msigwa.
Mbowe ametumia makada wake wakongwe kujiimarisha madarakani. Sugu na Mbowe wanajuana tangu enzi ya Club Bilicanas
View attachment 3003051
Rudisha!Chadema imekufa!! NAMI narudisha kadi yao Wala Rushwa Hawa
Nasikia Lissu kesho anaandaa mkutano kutangaza kujiondoa chadema yeye na genge lake, aende, hicho chama sio cha alizeti, ni cha kahawa na ndiziHongera Sugu kwa ushindi huo na pia hongera Msigwa kwa kuonyesha ushindani mkubwa.
Sasa makamanda tujipange kujenga chama kwa ajili ya kushinda uchaguzi ujao dhidi ya maCCM.
NdioKumbe kuna kufaidi nchi!
Amandla...
Kama akijiondoa wewe kinakuuma nini mkuu? Mbona unakuwa na kimuhemuhe kama mwanamke mwenye mimba changa? Meza limau utapona.Nasikia Lissu kesho anaandaa mkutano kutangaza kujiondoa chadema yeye na genge lake, aende, hicho chama sio cha alizeti, ni cha kahawa na ndizi
Very minor difference,Peter Msigwa pia anapendwa kura 2 tu.Wote Hongera zao sasa washirikiane kukijenga chama Nyasa.tofauti ndogo sana..
54 kwa 52..
Msigwa naye ni mshindi kumbe
nani atampa huo usajili? sio rahisi kihivi, anayewapa usajili ni mteuliwa wa sisiemu.Lissu atahama Chadema, ataunda chama chake
Ameshakolea cocktail ya ulanzi na kisungura.Badilisha kichwa cha habari iwe ni kanda ya Nyasa badala ya ulivyoandika kuwa Jimbo la Nyasa. Au imetoka mtuvila kujimwagilia vitu vya asili😃😃😃