CHIEF PRIEST
JF-Expert Member
- Dec 13, 2021
- 11,635
- 21,347
Huyo ni mbunge mtarajiwa wa Iringa Mjini kupitia ChademaNilitamani kweli ashinde, genge la Mbowe CDM ni la kupunguzwa makali.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo ni mbunge mtarajiwa wa Iringa Mjini kupitia ChademaNilitamani kweli ashinde, genge la Mbowe CDM ni la kupunguzwa makali.
Akili ya kimasikini hiyo. Mshahara siyo kila kitu.Hicho cheo mshahara sh ngp?
Bado sana. Tusianze kushangilia mapema hivi. Kazi ngumu sana inawasubiri CHADEMA.Kwa siku mbili tatu mmeweza, pamoja na zuio la CCM kwa vyombo vya habari, kuripoti mikakati yenu katika kuwakomboa wananchi, uchaguzi huu umewaanika walivyo na roho mbaya. Hongereni sana. Bye bye CCM, adui namba one wa taifa.
Wewe wasemaChadema ni small branch ya CCM 😃😃😃😃
Ni kujitoleaHicho cheo mshahara sh ngp?
Umesikia tu?Mpunga wa balozi wa USA siyo mchezo. Nasikia mpunga ulitembea balaa yaani hao 120 wajumbe wamelamba dume balaa
Sugu ataapishwa kuwa Mwenyekiti wa Kanda ya Nyasa na kuanzia kazi rasmi, na agenda yake ya Kwanza ni kujenga ofisi za Kanda.Haya sasa What is Next?
Hicho cheo hakina posho Wala mshahara.Hawa watu walishajipata, waachie hivyo viti na vijana wafaidi nchi.....
Wajumbe ni Viongozi wa kuu wa mkoa.chaguzi byingine bana, rahisi sana, yaan wajumbe chini ya mia2 dah.....
ila wamezitafuna pesa haswa![]()
Wapishe bila sababu?.Wasigombee na hao vijana, wapishe hizo nafasi
Ushahidi upo kabisa bosi. Yaani video zipo jinsi sugu aka moto chini alivyogawa mpunga. Yaani ni aibu sana.Umesikia tu?
Wahi mapema urudishe kadi ni haki yako. Chama kitaendelea na wenye moyo.Chadema imekufa!! NAMI narudisha kadi yao Wala Rushwa Hawa
Hakuna mpunga Wala Nini, mchuano ulikuwa mkali basi.Ushahidi upo kabisa bosi. Yaani video zipo jinsi sugu aka moto chini alivyogawa mpunga. Yaani ni aibu sana.
Mbona kinagombaniwa sasa, kumbe wanagombania patupu..... Basi sawaHicho cheo hakina posho Wala mshahara.
Sababu ipo, wao washajipata....Wapishe bila sababu?.
Ila msigwa ndio alikuwa Mwenyekiti Kwa miaka kumi. Yani vipindi viwili.lazma mmoja awe mshindi.
msigwa subiri huko mbeleni
Chadema imekufa!! NAMI narudisha kadi yao Wala Rushwa Hawa