Pre GE2025 Joseph Mbilinyi (Sugu) ashinda uchaguzi Kanda ya Nyasa, amgaragaza Mchungaji Msigwa

Pre GE2025 Joseph Mbilinyi (Sugu) ashinda uchaguzi Kanda ya Nyasa, amgaragaza Mchungaji Msigwa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Sikuwahi kujua kama CHADEMA nacho ni Chama Cha Kiboya hivi, yaan honestly Unawekewa Sugu na Msigwa Unachagua sugu? Naiona ACT iki-shine ukanda huo! Haki hao Wajumbe Ukanda huo ni Vilaza sana.

CHADEMA wajitathmini, kuna namna ya kugawanyika, inamaana kile Sugu alichokuwa akiongea akionyesha maneno ya dharau, kashfa na uadui wa wazi wazi ni maneno ya ndani ya chama. Pia kuhusu kusema chama hakimuaminini maneno ya ndani ya chama japo yalitoka mdomon mwa Sugu.
Mbona kama unalia?
 
Nikiwaangalia hawa jamaa kwamba wanataka waongoze nchi nasema hawa hawa ambao hata uchaguzi wanatukanana kabla na baada ya uchaguzi yaani wanaojiona ni bora kuliko wenzao kisa wako kundi flani ni wengi
CCM huwa wanapigana n kuuana cc Ndugai na yule jamaa aliyepigwa gongo kicwan akazima wiki nzima
cc Charles Tizeba na Chegeni waliozpga live live kwenye kura za ndani ya chama.

Au tukuongezee mifano ?
 
Sikuwahi kujua kama CHADEMA nacho ni Chama Cha Kiboya hivi, yaan honestly Unawekewa Sugu na Msigwa Unachagua sugu? Naiona ACT iki-shine ukanda huo! Haki hao Wajumbe Ukanda huo ni Vilaza sana.

CHADEMA wajitathmini, kuna namna ya kugawanyika, inamaana kile Sugu alichokuwa akiongea akionyesha maneno ya dharau, kashfa na uadui wa wazi wazi ni maneno ya ndani ya chama. Pia kuhusu kusema chama hakimuaminini maneno ya ndani ya chama japo yalitoka mdomon mwa Sugu.
Ulitaka uongozi wa Chama upindishe matokeo ya uchaguzi na uumpe ushindi Msigwa? Au unaamini wajumbe walimchagua Msigwa lakini uongozi wakampa ushindi Sugu kwa sababu walimtaka? Kipi ni kipi?

Amandla...
 
CCM huwa wanapigana n kuuana cc Ndugai na yule jamaa aliyepigwa gongo kicwan akazima wiki nzima
cc Charles Tizeba na Chegeni waliozpga live live kwenye kura za ndani ya chama.

Au tukuongezee mifano ?
Mtasubiri sanaaa nyie jamaa kwanza sasa mna kundi la Mbowe ambae ni Mfalme hatoki yeye kazi yake ni kuwamaliza wale wote wanaokua kisiasa.
 
Mtasubiri sanaaa nyie jamaa kwanza sasa mna kundi la Mbowe ambae ni Mfalme hatoki yeye kazi yake ni kuwamaliza wale wote wanaokua kisiasa.
Akili huna, Mbowe ndio ameibuwa vijana wengi unaoona wanashine.
 
CCM huwa wanapigana n kuuana cc Ndugai na yule jamaa aliyepigwa gongo kicwan akazima wiki nzima
cc Charles Tizeba na Chegeni waliozpga live live kwenye kura za ndani ya chama.

Au tukuongezee mifano ?
Nimecheka
 
Matokeo ya Uchaguzi wa Kanda ya Nyasa.Joseph Osmond Mbilinyi (SUGU) amepata kura 54 sawa asilimia 50.94Peter Simon Msigwa amepata kura 52 sawa na asimilia 49.05
 
Matokeo ya Uchaguzi wa Kanda ya Nyasa.Joseph Osmond Mbilinyi (SUGU) amepata kura 54 sawa asilimia 50.94Peter Simon Msigwa amepata kura 52 sawa na asimilia 49.05
Sasa ulitaka kusema nini?
Mbona hueleweki?
 
Back
Top Bottom