Matokeo ya Uchaguzi wa Kanda ya Nyasa.Joseph Osmond Mbilinyi (SUGU) amepata kura 54 sawa asilimia 50.94Peter Simon Msigwa amepata kura 52 sawa na asimilia 49.05
Mnatukana wenzenu hovyo imagine mtu anatangazwa mshindi uchaguzi wa ndani lakini bado mnatukanana sio utoto nani awape nchi nyie
.Tutakaa pale miaka 14440
Mnatukana wenzenu hovyo imagine mtu anatangazwa mshindi uchaguzi wa ndani lakini bado mnatukanana sio utoto nani awape nchi nyie
.Tutakaa pale miaka 14440