Uchaguzi 2020 Joseph Mbilinyi(Sugu): Nagombea Mbeya, niko tayari

Uchaguzi 2020 Joseph Mbilinyi(Sugu): Nagombea Mbeya, niko tayari

sugu moto chini.
Yule sugu ni mhuni na mvuta bangi tu anazojisifia nazo hapo kwenye wimbo wake japo ukweli katetea nchi sana bungeni ila bahati mbaya Mbeya inahitaji mawazo makubwa mapya. Mama Tulia atatuliza jimbo na ushawishi wake serikalini ni mtaji kwa wana Mbeya wasiitupe dhahabu hiyo watapata miradi mipya mikubwa ya kimkakati toka kwa Magu wakiwa na Mama Tulia badala kuhangaika na msela Sugu bila faida yoyote, tajiri ni wa kukumbatia tu siku zote, tajiri hanuniwi!! Mbeya chukueni Mama mle keki ya nchi naninyi ubishi wenu kumchagua Sugu mnarudishwa nyuma kimaendeleo! amkeni!

huyu Sugu hatakiwi kurudi bungeni ni mhuni , ni msela, hana adabu na hana hadhi ya ubunge , tume ya uchaguzi mnadhalilisha nchi kwa kupitisha watu kama hawa kuwa wabunge, kazi yao kutukana tu bungeni! kwani siku hizi magoli ya mkono yamesitishwa?
 
Sugu Mkoloni huyo kutoka nje ya mbeya kaja kutawalawa wana mbeya safari hii Sugu lazima afungishwe virago mbeya sio koloni la wakinga
CCM mna siasa za hatari sana. Ni ujinga tu wa Watanganyika ndio maana mnachekewa ila kiukweli mna roho za uharibifu!
 
Mbeya hatujipendekezi serikalini sisi siyo wagogo
usiongee ujinga kwenye kadamnasi kujipendekeza ndo ujanja wa mjini ndugu! we huoni Mwigulu na Bashe walijipendekeza hivi sana wanakula nchi tu!! ubishi huleta umaskini na majanga tu!!
 
28 Juni 2020
Mbeya, Tanzania

"MIMI NA MBOWE NDO TULIWEKEWA DAU LA JUU, NAGOMBEA MBEYA NIKO TAYARI" SUGU

Mh. Joseph Mbilinyi ameyasema hayo katika mkutano wa ndani kuwashukuru wana wa Mbeya. Kwa kuwatunza na kuwaelekeza viongozi wa CHADEMA wa mjini Mbeya nini wanataka wafanye kufuatana na matakwa ya wananchi waliowachagua.


Uchaguzi Mkuu wa Tanzania unatarajiwa kufanyika mwezi Oktoba 2020. Nitalinda heshima niliyopewa na wanaMbeya maana hakuna thamani inayolingana na heshima hiyo kubwa waliyompatia kwa kuwa na imani naye.

Miaka 5 haikuwa lelemama na heshima kubwa iwaendee madiwani kwa kufanya kazi bila woga. CCM Mpya wasahau kupewa uongozi ktk jimbo la Mbeya maana wananchi bado wana imani na uongozi wa CHADEMA 2020 -2025.

Pamoja na mikutano kuzuiwa kwa miaka 5 lakini CHADEMA bado ni imara na tishio kwa CCM Mpya kiasi kuwa mpaka sasa hakuna mwanachama wa CCM Mpya aliyediriki kusema au kutangaza atagombea jijini Mbeya bali wanaonekana wakipitapita lakini wakiulizwa na wanaCCM kama watatia nia wanabakia kusema muda bado CCM Mpya kusema waziwazi.

Woga huo wa CCM Mpya kushindwa mpaka sasa kujitangaza kugombea waziwazi Mbeya ni dalili kuwa hawana chao 2020 jijini Mbeya.

Shukrani kwa imani ya wananchi wa Mbeya juu ya viongozi wao wa CHADEMA waliowachagua na kuwa nao bega kwa bega na CHADEMA katika kila hali.
Source : Millard Ayo

ELIMU YA MALEBO



Leo tuangalie Malebo mawili ya WADAIWA SUGU na VYETI FEKI



Kama jina lako lipo hapa nawe linakuhusu kwa asilimi 200 perfect maana wengine wanazuia wengine wanaendelea kupaka rangi ili yangae



VYETI FEKI

Orodha ya Watumishi Wenye Vyeti Feki

Mie nipo ni kama LEBO INANIHUSU kushangilia raha lakini tutaenda kwa WAGANGA WA KIENYEJI huwaga wanasema MHAYA/MPOLE/MYATULU HUYOOO USISAHAU MWANAJESHI (WALE WA SPECIALIZATION ZA MAJINA MPOO)



WADAIWA SUGU

http://zanzibar24.co.tz/wp-content/uploads/2016/11/ORODHA_YA_WASUGU_1.pdf



KWA LEBO HIZI NATHANI KUNA MAISHA YA UGAIDI WA KUSAFISHA MAJINA kila la kheri wale wanaopenda kuwa perfect asilimia 100



NI BORA ATAKAYEKAMATWA NA KUELEWA KWA LAZIM A NITAMJENGEA GHOROFA BAHARINI ILI ALE MAISHA KWA AJILI YA MSWALA AU MKEKA WA UONGOZI TANZANIA







WAONGO NA WADANGANYIFU
 
Jamani aliyepata komonio ya kwanza au kucheza na tulia akson Mbeya aje hapa atwambie maana tumemsikia sugu

Kasoma sisimba, Mbeya day kauza mitumba docks, kitaa ana masela kibao kwaiyo yeye Mbeya si wakuja anavyodai

Haya sasa kwako mama tukinao a.k.a betina tuambie wewe Mbeya mjini umesoma wapi, umecheza wapi masela wako tukipita mitaa ya Mbeya wapo uliocheza nao
Hizo siasa za kikanda ndiyo zilimwangusha Mpesya (mbunge aliyepita) 2010. Kila alipohoji uenyeji wa Sugu alionekana mbaguzi. Fanyeni siasa safi. Kila mtu ana haki ya kugombea popote pale.
 
usiongee ujinga kwenye kadamnasi kujipendekeza ndo ujanja wa mjini ndugu! we huoni Mwigulu na Bashe walijipendekeza hivi sana wanakula nchi tu!! ubishi huleta umaskini na majanga tu!!
bila ubishi mpaka leo Afrika ingekuwa ipo chini ya ukoloni wa Mjerumani, bila ubishi Afrika Kusini mpaka leo ingekuwa chini ya utawala wa makaburu.

nakushauri uache kujipendekeza.
 
Mbeya nchi rais sugu.

Yani kama nawaona wana mbeya kama wakalazimisha matokeo kwa kumtangaza mwingine!!!
 
Tulia na umbo la jiti, ataangaika sana.
Madudu aliofanya bungeni kumfuraisha Magufuli, imemuondelea sifa ya kuchaguliwa kwa kura asubiri tu, tume na polis wampitishe kibabe.
Tulia hana sifa wala uwezo wa kushinda Uchaguzi.
 
Hata nikisema sugu sipati chichote kutoka kwake, unless mnikumbushe nilichoambulia ni kama nimesahau
 
28 Juni 2020
Mbeya, Tanzania

"MIMI NA MBOWE NDO TULIWEKEWA DAU LA JUU, NAGOMBEA MBEYA NIKO TAYARI" SUGU

Mh. Joseph Mbilinyi ameyasema hayo katika mkutano wa ndani kuwashukuru wana wa Mbeya. Kwa kuwatunza na kuwaelekeza viongozi wa CHADEMA wa mjini Mbeya nini wanataka wafanye kufuatana na matakwa ya wananchi waliowachagua.


Uchaguzi Mkuu wa Tanzania unatarajiwa kufanyika mwezi Oktoba 2020. Nitalinda heshima niliyopewa na wanaMbeya maana hakuna thamani inayolingana na heshima hiyo kubwa waliyompatia kwa kuwa na imani naye.

Miaka 5 haikuwa lelemama na heshima kubwa iwaendee madiwani kwa kufanya kazi bila woga. CCM Mpya wasahau kupewa uongozi ktk jimbo la Mbeya maana wananchi bado wana imani na uongozi wa CHADEMA 2020 -2025.

Pamoja na mikutano kuzuiwa kwa miaka 5 lakini CHADEMA bado ni imara na tishio kwa CCM Mpya kiasi kuwa mpaka sasa hakuna mwanachama wa CCM Mpya aliyediriki kusema au kutangaza atagombea jijini Mbeya bali wanaonekana wakipitapita lakini wakiulizwa na wanaCCM kama watatia nia wanabakia kusema muda bado CCM Mpya kusema waziwazi.

Woga huo wa CCM Mpya kushindwa mpaka sasa kujitangaza kugombea waziwazi Mbeya ni dalili kuwa hawana chao 2020 jijini Mbeya.

Shukrani kwa imani ya wananchi wa Mbeya juu ya viongozi wao wa CHADEMA waliowachagua na kuwa nao bega kwa bega na CHADEMA katika kila hali.
Source : Millard Ayo

yaaaaaaaaah mbeya ndo alama ya wasouth Afrika na cyo songea wanaodhaniwa wasouth
 
Back
Top Bottom