Uchaguzi 2020 Joseph Mbilinyi(Sugu): Nagombea Mbeya, niko tayari

Uchaguzi 2020 Joseph Mbilinyi(Sugu): Nagombea Mbeya, niko tayari

Nilifkr cdm wataenda kinyume na kawaida ya vyama vingine ,awamu mbili zinatosha aachie wengine
 
Mm naona wabunge ambao washagombea misimu miwili tayar washapata exposure ya kutosha ya kujiajiri.. wawaachie vijana wengine nao wapate shavu.. sasa mtu km lukuvi, mpango,kabudi, mkuchika, mwigulu,mbowe, ****** na wengine wengi n nn walichobakiza kwenye haya maisha? Km ni maisha ya hapa na pale tayari wanayo.. wawape wengine nao wapate fursa. Ni muda wa wazee kupumzika na kuwapa vijana fursa ya nafasi hizo pia! Waache kuwa vinag'ang'anizi km Wasira!
 
Hivi Mama kairuki yeye atagombea jimbo gani wakuu?
 
28 Juni 2020
Mbeya, Tanzania

"MIMI NA MBOWE NDO TULIWEKEWA DAU LA JUU, NAGOMBEA MBEYA NIKO TAYARI" SUGU

Mh. Joseph Mbilinyi ameyasema hayo katika mkutano wa ndani kuwashukuru wana wa Mbeya. Kwa kuwatunza na kuwaelekeza viongozi wa CHADEMA wa mjini Mbeya nini wanataka wafanye kufuatana na matakwa ya wananchi waliowachagua.


Uchaguzi Mkuu wa Tanzania unatarajiwa kufanyika mwezi Oktoba 2020. Nitalinda heshima niliyopewa na wanaMbeya maana hakuna thamani inayolingana na heshima hiyo kubwa waliyompatia kwa kuwa na imani naye.

Miaka 5 haikuwa lelemama na heshima kubwa iwaendee madiwani kwa kufanya kazi bila woga. CCM Mpya wasahau kupewa uongozi ktk jimbo la Mbeya maana wananchi bado wana imani na uongozi wa CHADEMA 2020 -2025.

Pamoja na mikutano kuzuiwa kwa miaka 5 lakini CHADEMA bado ni imara na tishio kwa CCM Mpya kiasi kuwa mpaka sasa hakuna mwanachama wa CCM Mpya aliyediriki kusema au kutangaza atagombea jijini Mbeya bali wanaonekana wakipitapita lakini wakiulizwa na wanaCCM kama watatia nia wanabakia kusema muda bado CCM Mpya kusema waziwazi.

Woga huo wa CCM Mpya kushindwa mpaka sasa kujitangaza kugombea waziwazi Mbeya ni dalili kuwa hawana chao 2020 jijini Mbeya.

Shukrani kwa imani ya wananchi wa Mbeya juu ya viongozi wao wa CHADEMA waliowachagua na kuwa nao bega kwa bega na CHADEMA katika kila hali.
Source : Millard Ayo

Baada ya mapambano makali ya CCM na CHADEMA saizi ni muda wa kuangalia movie maana tuliweka wasiwasi kwenye kila kitu ili kuhakikisha CHADEMA inapata walau wabunge wawili kwenye uchaguzi wa 2020.. Kwa vulumai zilizopo Mbeya ni muda ya SUGU kusaidia CCM ipite bila kupigwa maana naye amekamilisha miaka 10…

Watu wa interest mlisahau hii movie



 
Akili zako ziko huko huko, haya
Baada ya mapambano makali ya CCM na CHADEMA saizi ni muda wa kuangalia movie maana tuliweka wasiwasi kwenye kila kitu ili kuhakikisha CHADEMA inapata walau wabunge wawili kwenye uchaguzi wa 2020.. Kwa vulumai zilizopo Mbeya ni muda ya SUGU kusaidia CCM ipite bila kupigwa maana naye amekamilisha miaka 10…

Watu wa interest mlisahau hii movie



 
Gombea tu Ila hushindi, mbeya hatutaki mbunge kilaza Safari hii
 
28 Juni 2020
Kilosa, Morogoro
Tanzania

CHADEMA kina wabunge wanaokubalika sana na wananchi. Kwa kifupi waBunge wa CHADEMA ni wabunge wa 'Taifa' kama ambavyo mbunge Joseph Haule alipozungumza mbele ya Rais Magufuli na mbunge Joseph Haule Prof. Jay kushangiliwa sana .

 
Betina ajiandae kurudi kwenye jimbo lake la magogoni
28 Juni 2020
Mbeya, Tanzania

"MIMI NA MBOWE NDO TULIWEKEWA DAU LA JUU, NAGOMBEA MBEYA NIKO TAYARI" SUGU

Mh. Joseph Mbilinyi ameyasema hayo katika mkutano wa ndani kuwashukuru wana wa Mbeya. Kwa kuwatunza na kuwaelekeza viongozi wa CHADEMA wa mjini Mbeya nini wanataka wafanye kufuatana na matakwa ya wananchi waliowachagua.


Uchaguzi Mkuu wa Tanzania unatarajiwa kufanyika mwezi Oktoba 2020. Nitalinda heshima niliyopewa na wanaMbeya maana hakuna thamani inayolingana na heshima hiyo kubwa waliyompatia kwa kuwa na imani naye.

Miaka 5 haikuwa lelemama na heshima kubwa iwaendee madiwani kwa kufanya kazi bila woga. CCM Mpya wasahau kupewa uongozi ktk jimbo la Mbeya maana wananchi bado wana imani na uongozi wa CHADEMA 2020 -2025.

Pamoja na mikutano kuzuiwa kwa miaka 5 lakini CHADEMA bado ni imara na tishio kwa CCM Mpya kiasi kuwa mpaka sasa hakuna mwanachama wa CCM Mpya aliyediriki kusema au kutangaza atagombea jijini Mbeya bali wanaonekana wakipitapita lakini wakiulizwa na wanaCCM kama watatia nia wanabakia kusema muda bado CCM Mpya kusema waziwazi.

Woga huo wa CCM Mpya kushindwa mpaka sasa kujitangaza kugombea waziwazi Mbeya ni dalili kuwa hawana chao 2020 jijini Mbeya.

Shukrani kwa imani ya wananchi wa Mbeya juu ya viongozi wao wa CHADEMA waliowachagua na kuwa nao bega kwa bega na CHADEMA katika kila hali.

Source : Millard Ayo
 
Hata udiwani hawezi kuupata kwa jinsi tulivyo jipanga wana mbeya. Hatuihitaji kabisa ccm hapa
Hongera Sugu ulianza Safari na sisi na umemaliza Safari salama.

Mheshimiwa Sugu wewe ni shujaa umeweza kuruka viunzi vingi ikiwemo kukataa kuunga mkono juhudi.

Tutakuchagua tena kwa kura nyingi kuliko za Rais wa Zanzibar,mwambie yule mwanamama number 2 mjengoni atafute jimbo lingine Mbeya hana nafasi labda agombee udiwani.
 
Hana hata aibu huyo Betina
Jamani aliyepata komonio ya kwanza au kucheza na tulia akson Mbeya aje hapa atwambie maana tumemsikia sugu

Kasoma sisimba, Mbeya day kauza mitumba docks, kitaa ana masela kibao kwaiyo yeye Mbeya si wakuja anavyodai

Haya sasa kwako mama tukinao a.k.a betina tuambie wewe Mbeya mjini umesoma wapi, umecheza wapi masela wako tukipita mitaa ya Mbeya wapo uliocheza nao
 
Back
Top Bottom