Joseph Mbilinyi (Sugu) yupo mahututi hospitalini baada ya kipigo cha Polisi

Joseph Mbilinyi (Sugu) yupo mahututi hospitalini baada ya kipigo cha Polisi

Sugu nae aache mambo kama ya Suarez kwenye mpira, maana hata akiguswa kidogo tu, anajifanya kavunjwa mguu wote..!! Aache

Hahaha nimefurahi mno maana sisi wakati tunaomboleza kifo cha Dkt Magufuli ninyi mlikuwa mnashangilia hahaha na bado
Yeye sugu alikuwa analipi alilofanya achukiwe na anaowaongoza?

Kama Magufuli alifanya uongozi wake watu wasimpende hilo nikosa lake.

Kama mliona sugu amevunja sheria mngempeleka mahakamani akashitakiwa na kufungwa.
 
Yeye sugu alikuwa analipi alilofanya achukiwe na anaowaongoza?

Kama Magufuli alifanya uongozi wake watu wasimpende hilo nikosa lake.

Kama mliona sugu amevunja sheria mngempeleka mahakamani akashitakiwa na kufungwa.
Hakuna kipigo kwanza yaani hawa ni vipigo tu mpaka tengua viuno
 
Hongera zake Sugu kwa kupata kipigo cha mbwa koko. Nadhani sasa wataelewa maana halisi ya mamlaka ya rais. Alipofariki Dkt Magufuli sugu na genge lake walifanya sherehe za kupongezana na kumsifia sanaaa Dkt Samia. Ila wakasahau kuwa aliyefariki ni mmoja na mfumo wote upo kama ulivyo. Sasa naona watakumbuka na kumkumbuka Dkt Magufuli alivyokuwa anawapenda. Tunamtakia afya njema aje ashuhudie. Na hapo unaweza kuta mbowe ndiyo kaagiza apigwe mpaka afe ili asigombanie nafasi ya uenyekiti
Acha kumuongelea marehemu kwa upuuzi namna hiyo.....jikite kwenye hoja... 😎
 
mbona kwenye kikao na rpc mbeya alikuwa vizuri tu, itakuwa presha tu imempanda, uhai wa mtu ni bora kuliko siasa zetu tumwombee apone haraka familia inamtegemea
 
SUGU YUPO MAHUTUTI HOSPITALI,DAR ES SALAAM.

1.Sugu anaongea kwa taabu sana na Sauti ya chini sana, kutoka Hospitali binafsi aliyopelekwa leo asubuhi.

2.Sugu alivamiwa na kupigwa na Kamishna wa Operesheni na Mafunzo, Awadhi binafsi siyo kwa kutuma askari wa chini,

Kuanzia nje ya ofisi za Kanda ya Nyasa, Mkoani Mbeya kwa kushambuliwa kwa makofi baadae akawa anatumia rungu kabla ya askari wengine kuja kujumuika na Kamishina Awadhi Haji

3.Kamishina Awadhi Haji aliacha Kumpiga Sugu baada ya Askari wengine wengi kuja kuja kumsaidia kumshambulia Sugu sehemu mbalimbali za mwili wake.

4.Kamishina Awadhi Haji alipoacha kumpiga Sugu alihamia katika kumpiga Katibu Mkuu John Mnyika, ambapo alikuwa Mnyika anavutwa kwa nguvu na askari wanamuita mheshimiwa

Kamishina Awadhi ndiyo alikuwa mtu wa kwanza pia kumpiga Katibu Mkuu Mnyika huku akiwafokoea askari wengine kuita Mnyika Mheshimiwa,

"Waheshimiwa wapi hawa, hawa ni wahuni tu, wanataka kuvuruga amani ya nchi. Wanachezea nchi."

5. Katibu Mkuu John Mnyika na Sugu walipandishwa katika Landcruiser hardtop Pickup kwa kuwalaza kifudifudi na juu askari zaidi ya 8 waliokuwa nyuma waliwakanyaga kuanzia Mbeya hadi Makambako

Njiani, Mnyika na Sugu walipokuwa wanajitahidi kutengeneza mazingira ya kuweza vichwa vyao vizuri waweze kupua walipigwa sana marungu ya miguuni na migongoni.

6. Katibu Mkuu Mnyika alishushwa Makambako, kisha Sugu aliendelea na safari akiwa amelazwa pale chini kifudifudi vilevile.

7.Muda wote wa safari, askari waliokuwa wanawasindikiza Mnyika na Sugu walikuwa wamevaa vinyago "mask"

8.Sugu alifikishwa Iringa Juzi majira ya Saa 9 :00 usiku na kuwekwa mahabusu ya pekee yake.

9.Jana majira ya Saa 9 : 00 Jioni walimchukua Sugu kutoka Mahabusu ya Kituo cha Polisi Central, Iringa kwenda Dar es Saalam wakiwa na gari ndogo.

10 Majira ya Saa 5 :00 usiku Polisi walimfikisha Sugu katika kituo cha Polisi Central, Dar es saalam, akiwa anaumwa kiasi cha wao kuogopa kumuweka Mahabusu wala kumpa neno lolote.

11.Polisi Central, Dar es saalam walioona hali mbaya ya sugu tangu ashushwe katika gari kutokea Iringa waligoma kumpa PF (Kibali cha kwenda kutibiwa) na Waligoma wao kumpeleka Hospitali, Walimuitia teksi wakailipa Tsh 7,000/= Dereva atafute sehemu ya kulaza wageni ampeleke Sugu.

12. Kwa sasa Sugu yupo katika Matibabu, baada ya kupata majeraha sehemu za Mgongoni, Mbavuni, Kichwani na Miguuni sehemu ya ugoko.

13.Mwisho, sugu na Mnyika wameibiwa simu zao zote pamoja na fedha kiasi cha Dollar elfu tano na shilingi milioni 3 za Kitanzania.

Boniface Jacob (Ex Mayor)
Augue pole
Apone haraka
 
Huyu Mzanzibar asipewe u IGP hata kama cheo hakina mtu na amebaki peke yake! Wanakuja Tanganyika kutuumizia ndugu zetu? Huyu mother naye si atumie akili hata kidogo tu aliyo nayo?
 
Hata HH wa Zambia akiwahi kupigwa na polisi na kulazwa kifudifudi kwenye karandinga, lakini kiko wapi sasa?
 
Back
Top Bottom