Joseph Mbilinyi (Sugu) yupo mahututi hospitalini baada ya kipigo cha Polisi

Huyu Mzanzibar asipewe u IGP hata kama cheo hakina mtu na amebaki peke yake! Wanakuja Tanganyika kutuumizia ndugu zetu? Huyu mother naye si atumie akili hata kidogo tu aliyo nayo?
Awadhi si mzanzibari.
 
Huwa nakuona mtu wa hekima nyingi ilaa.......
Hekima ni kutii bila shuruti.

Ujinga wafanye wao, matamshi ya kuvuja amnai walete wao, masimamishwe ujinga wao wao. Hekima unaitafuta kwangu?

Waulize kwanini walitowa matamko ya uvunjifu wa amani? Waulize walipoambiwa wasikusanyike kwanini waliendelea na hilo zoezi> Hekima yao ilikuwa wapi?

Ushakatazwa kufanya ujinga unaendelea kuufanya halafu unategemea hekima kutoka kwangu?

Punguwani wahed.
 
Nata tamko lao la leo wanaongelea "kujikomboiwa
". Kujikombowa kutoka wapi? Kwani hawajuwi kuwa Tanzania ipo huru?
 
Kama yupo hai ni bahati yake sana, Tanzania tusikubali kupoteza maisha ya wengi kwa ajili ya ujinga wa wachache.
 
Reactions: UCD
Inasikitisha kwa kweli,Mungu wa Mbinguni atamlinda Mheshimiwa na atapona lakini Police tumieni nafasi zenu vizuri maisha ni haya haya kuna siku mtastaafu je jamii itawachukuliaje??Na nyie ni sehemu ya jamii,zingatieni utu msitumike vibaya,vyeo huisha lakini ubinadamu hubaki pale pale.
 
Au Mnatafuta mazingira yakupiga hela maana nyie jamaa tunawajua Ni matapeli tapeli Sana
 
Umeona Sugu akiwa ICU ameandika kuukiza,"Mama Samia,amiri jeshi Mkuu,tumefikaje hapa?"
Nadhani Sugu anawaza Ile sys ya BibliaGenesis 41:44,ambapo Pharaoh anamwambia Joseph, Nwananchi asiinue mkono au mguu bila ruhusa ya kiongozi."
Kwa hiyo aliyekuwa anaambiwa alikuwa Joseph na Sugu pia ni Joseph; kwamba mwananchi asiinue mkono au mguu bila ruhusa ya kiongozi. Pia asidise bila ruhusa ya kiongozi. Unafikiria tunaweza kumpata kiongozi kama huyo?
 
Sugu nae aache mambo kama ya Suarez kwenye mpira, maana hata akiguswa kidogo tu, anajifanya kavunjwa mguu wote..!! Aache kutafuta public sympathy
Ni kwa kiasi gani umepata maheraha Dr ndo anaweza kujua!
 
Sugu ana post hauwezi kuwa mahututi upost hizo no drama
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…