Joseph Mbilinyi (Sugu) yupo mahututi hospitalini baada ya kipigo cha Polisi

Tunaelekea wapi nchi hii!
 
Na wale ambao walishingilia wakiwa ccm na wakapewa na madaraka ? Unawaweka katika kundi gani?
Nao pia time is the judge, si unaona walivyo sasa hivi, unajua Dkt Magufuli ktk uhai wake hakuwahi kusimamia jambo akashindwa so his spirit speaks alot about him. Kwa ufupi wapinzani wa Dkt Magufuli walipofuka sana kiasi kwamba kwa tamaduni za binaadamu akishafariki huwa mnasahau tofauti na kuungana kuomboleza ila wao ndiyo wakaanzisha thread za kutukana maiti, wakapiga picha ili kudhalilisha maiti, wakadhani watanzania wataungana nao ila wakabaki peke yao wakishangilia huku watanzania kwa mamilion wakimlilia sana
 
Hao ni certified criminals
Haya mambo Tlaatlaah ndy anapenda kuona

Ova
nafatilia kwa karibu sana jambo hili la kusikitisha kwa mwanadamu ili kujiridhisha na taarafa za pande zote mbili, ndipo sasa naweza kueleza maoni na mtazamo wangu bila mbambamba yoyote...

namtakia ahueni ya mapema huyo muungwana kiongozi muandamizi wa chadema kanda ya Nyasa 🐒
 
Aisee!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…