Joseph Mbilinyi (Sugu) yupo mahututi hospitalini baada ya kipigo cha Polisi

Siku Gen Z wakiingia mitaan hawa mabumunda wata jua hii nchi no yetu sote. Kwann kuumizana huu ni ushamba na upumbavu wa hali ya juu
 
Siku Gen Z wakiingia mitaan hawa mabumunda wata jua hii nchi no yetu sote. Kwann kuumizana huu ni ushamba na upumbavu wa hali ya juu
Waingie kwanini?

Purpose matters and surely politics won’t be the reason

Chakadomos have failed big time
 
Niko Mkoa ambao siyo asili yangu na kuna jamaa zangu wengi tu wa kule kwetu wako huku kwa shughuri mbalimbali.

Sasa kuna mmoja ni mfanya biashara mkubwa kiasi,ana kaka yake mkubwa ni mstaafu alikuwaga Askari polisi na ana makazi yake Dar Es Salaam.
Ila huyu mstaafu amechakaa ile mbaya na kibaya zaidi yeye na mkewe wanaishi ndani ya nyumba moja ila kila mmoja anapika kivyake.

Naona aliwekeza muda wake mwingi kuwapiga akina Lipumba virungu vya ugoko kiasi cha kwamba mpaka leo hii ikitokea anahitajika kwenda UJITANI ni lazima ataomba nauli kutoka kwa mdogo wake.

Hili hafanyi kwa kuzuga wala eti kutokana na ukwasi wa mdogo wake bali ni kweli kwamba anakosa namna sahihi ya kupata fedha sasa nami huwa simhurumii hata kidogo kwani mdogo anasema alifikia kwake kutoka UJITANI,wakiishi ndani ya vile vinyumba vya polisi,dogo akafanyiwa figisu na kufukuzwa pale,akatumia hiyo nafasi vizuri akajenga nyumba pale KIBAHA huku kaka yake kazi yake kubwa ikiwa ni kutumia KIWI kukigeuza kiatu kuwa kioo na kupiga watu virungu vya ugoko.
 
Waingie kwanini?

Purpose matters and surely politics won’t be the reason

Chakadomos have failed big time
Unataka ulete siasa wakati sija weka itikadi hapo..? Rudia kusoma. Ndio shida yakuwa chawa yaan unawaza kila saa chadema. Ongea kama mtanzania alie erevuka.
 
duh na ubonge wote ule kapigwa hadi mahututi? kwa maana kumpeleka mtu over weight kama yule chini unahitaji equal and opposite amount of force au zaidi, kweli duniani kuna mambo …
Mkuu inawezekana unaenjoy saivi, ila amini hautoondoka duniani kabla hayajakupata yaliyompata Sugu.

Ukifurahia udhalimu utakutwa na udhalimu. Shetani hajawahi kuwa mwaminifu kwa watu wake.
 
Nikiwa mdogo nilikuwa nasikiliza ngoma ya Sugu "Mikononi mwa polisi".
Sugu hajaanza leo purukushani na polisi. He had also survived dictatorship couple of years ago. Get well Jongwe. 😁
Sugu Moto Chini...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…