Joseph Mbilinyi (Sugu) yupo mahututi hospitalini baada ya kipigo cha Polisi

Kama ni kweli wapinzani walishangilia kifo cha JPM (naamini ushahidi haupo), na wewe ukaona kuwa ni kitendo kibaya, sawasawa na wewe unavyofurahia mateso wanayoyapata, basi wewe utakuwa ni binadamu wa ajabu anayelipa ubaya kwa ubaya.

Huna la kumfundisha muovu kwa kulipa uovu kwa uovu.

Vikundi vya kumtukana Samia ndiyo vipi hivyo!!??
Vimechukuliwa hatua ya kupelekwa mahakamani!!??
Bosi ukweli tunaelewa kabisa wapinzani wanaonewa ila ilikuwaje wakashangilia kifo cha Dkt Magufuli???? Inakuwaje wanaanzisha vikundi vya kumtukana Dkt Samia. Wakome kabisa. Tunahitaji taifa linalofuata misingi ya kuheshimiana na kuvumiliana.
 
Mkuu inawezekana unaenjoy saivi, ila amini hautoondoka duniani kabla hayajakupata yaliyompata Sugu.

Ukifurahia udhalimu utakutwa na udhalimu. Shetani hajawahi kuwa mwaminifu kwa watu wake.
Kwani wewe umekuwa Mungu?
 
Dola 5000 na 3m wanafanya nazo nini mtaani badala ya kuwa benki? Tukisema walikuwa na nia ovu kutembea na hizo pesa zote tutakosea?
Sheria inaelekeza Mtanzania kutembea na kiasi gani cha fedha mfukoni? Na ni kiasi gani akikutwa nayo inakuwa kosa kisheria?!
 
Mkuu inawezekana unaenjoy saivi, ila amini hautoondoka duniani kabla hayajakupata yaliyompata Sugu.

Ukifurahia udhalimu utakutwa na udhalimu. Shetani hajawahi kuwa mwaminifu kwa watu wake.

nimeuliza tu swali, wamewezaje kumpiga mtu mzito hadi mahututi? i mean, ni lazima walikuwa kundi la askari waliomchamgia mande hadi kumuangusha na kumuumiza mahututi, its not easy, ulishawahi kupambana na mtu mwenye mwili mkubwa? siyo rahisi kihivyo kumtakle na kumpeleka chini …
 
Mungu amlaani awadhi na hao mbwa wengine polisi this too much 🥹🥹
 
Awadhi ni mtanganyika.
 
But why jmn?
 
Hizo dola elfu tano wamechomekea tu hapo kutengeneza msingi wa madai.
 
Nijuavyo "sugu" haidhuriki kwa kipigo.

Habari imekaa kishabiki sana hii. Labda alimletea kamishna jeuri. Maana huyo mtu ni mjinga mjinga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…