ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
- Thread starter
- #141
Naona Musukuma kakushika pabaya 🤪🤪Ujinga tuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naona Musukuma kakushika pabaya 🤪🤪Ujinga tuu
Ulivyo mpumbavu na zezeta umeshindwa hata kuelewa theme ya bandiko lqngu umekimbia kule kule kwenye kichaka chenu cha unyani kima wewe. Soma historia vizuri za hao watu kisha urudi hapa.
Mnapenda sana kujifariji kitoto ila moyoni mwenu mnatamani sana sifa ya kuitwa wasomi, hapo ulipo umeshindwa maana hukua na akili ulikua tutusa au garasa darani mmebaki kujifariji na nyenyenye za kipumbavu!
Kwa taarifa yako mi sio kima kama wewe nipo mbali sana kimaisha sababu ya shule we endelea kuuza ngogwe hapo mabibo kima wewe.
Tunasoma tupate nini?
Si maarifa!
Lakini kwanini wasomi wametufelisha kupata hayo maarifa?
Toka miaka ya 60 Tanzania ndiyo hii tu.
Hebu tuwasikilize na hawa wenye maarifa naturally pengine watatuvusha, hawa wengine wemekuwa wakisoma sijui wanasomea kuiba, maana hakuna cha maana kabisa, si wapinzani wala watawala hivyo tu.
Pesa ingekuwa inapatikana kwa ndago kila mmoja angekuwa nayo.. Binafsi msomi asiye na pesa licha ya kuwa na elimu namdharau sana sababu elimu yake haijamsaidia.
Unataka kusema English ndiyo kipimo cha elimu?
Hivi mtaamka lini nyie?
Hebu nenda china, Korea kusini+ kaskazini.
Thubutu hiyo DD/SS itamchanga mbaya atatoka kavurugwa, hapo bado International trade ambayo yeye anaitumia kila siku kuagiza magari huko Tokyo.Wampe topic moja ya uchumi akafundishe wanafunzi wa masters in Economics hapo UDSM, maana amepewa PhD ya kununua kajiona yupo level za wahadhiri wa chuo kikuu.
Uko sahihi ila experience maana yake ni elimu ambayo mtu amejifundisha mwenyewe na kwa maana hiyo wewe umempandisha zaidi hadhi. Kwa kiasi kikubwa, experience ni elimu ambayo ni self taught. Ni elimu ambayo kwa kiasi kikubwa mtu huwa anajifundisha mwenyewe
Elimu isipoambata na certification ya cheti, inakuwa ni elimu ambayo haina qualifications kwa sababu inakuwa haina vigezo vya namna ambayo watu wengine wanaweza kuipima; inakuwa ni Latent Education
Msukuma anayo elimu kubwa tu ila hana qualifications
Kimsingi msukuma anajibu dharau za akina Mwigulu na Tulia ambao hawana impact kwenye jamii
Independent thoughts without using others thinking from books. inability to process information effectively. people go to through their entire life learning how to have others ideas and not their own ideas. our job is to memorize how someone how thinks/thought or said aka kasuku or parrot
Soma tena nilichoandika. Nimesema ana elimu; hana qualificationsUmekiri Hana elimu na hana qualifications, chuo kikuu anafuata Nini?.
Anajua Recardo theory of land.Hello Wadau..
Mbunge wa Geita Dkt. Musukuma amesema Hajalipa dola 2500 kununua PhD Bali amelipa ada tuu ya dola 200.
Musukuma amesema yeye ni Mchumi wa heshima na mwenye maarifa na alipenda heshima ya udaktari wa falsafa baada ya waliompa kufanya utafiti wa uwezo wake.
Dkt. Musukuma amesema vyuo mbalimbali vimekuwa vikimualika Ili aende kutoa muhadhara ila hajafanikiwa kwenda Kwa sababu ya Ugumu wa ratiba yake. Miongoni mwa vyuo vinavyomhitaji ni Udsm..
Msukuma amesema yeyote mwenye shaka na uwezo wake basi Wasomi waandae mdahalo wa kiuchumi kati yake Musukuma na huyo profesa wa Chuo Kikuu halafu Wananchi ndio waamue nani ni Mchumi wa kweli na nani ni Mchumi wa makaratasi..🤪🤪
My Take
Msukuma lamatia hapo hapo maana hata wanaojiita wamesoma hakuna cha maana wamefanyia nchi hii zaidi ya Ufisadi na kujidai..
Twende kazi Dkt. Musukuma
Pesa za uchawi ni pesa.Inawezekana kabisa, huyu jamaa hana Elimu lakini ana pesa ,labda amealikwa kuzungumza siku moja
I pit you homie, msomi na mtu successfully unaishia kutukana matusi na kusema hujui historia za watu tajwa hapo juu! Kweli akili zako ni kama yule dume la Lusungu lililokuwa na mbegu mbili tu ambazo nazo kwa bahati mbaya lilimwagia nje badala ya ndani… hizo ngogwe kuuzika ni maarifa ya biashara, acheni ujinga nyie wasomi wa uchumi mlioshindwa kufungua hata kibanda umiza…Ulivyo mpumbavu na zezeta umeshindwa hata kuelewa theme ya bandiko lqngu umekimbia kule kule kwenye kichaka chenu cha unyani kima wewe. Soma historia vizuri za hao watu kisha urudi hapa.
Mnapenda sana kujifariji kitoto ila moyoni mwenu mnatamani sana sifa ya kuitwa wasomi, hapo ulipo umeshindwa maana hukua na akili ulikua tutusa au garasa darani mmebaki kujifariji na nyenyenye za kipumbavu!
Kwa taarifa yako mi sio kima kama wewe nipo mbali sana kimaisha sababu ya shule we endelea kuuza ngogwe hapo mabibo.
Huna akili wewe utaniambia nini mimi? Ungefika form four ungeishia kupata division zero pakashume mkubwa.I pit you homie, msomi na mtu successfully unaishia kutukana matusi na kusema hujui historia za watu tajwa hapo juu! Kweli akili zako ni kama yule dume la Lusungu lililokuwa na mbegu mbili tu ambazo nazo kwa bahati mbaya lilimwagia nje badala ya ndani… hizo ngogwe kuuzika ni maarifa ya biashara, acheni ujinga nyie wasomi wa uchumi mlioshindwa kufungua hata kibanda umiza…
Wasomi wanaoamini kwenye uchawi na pesa za ndago kuwa inawezekana na bado hawawekezi kufanya research na kutuonyesha inawezekanaje kisayansi hao ndio wale Lisu huwaita “Professorial rubbish”. Na wewe umo mzee,Anajua Recardo theory of land.
Kasehemu kadogo tu.
Demand
Pesa za uchawi ni pesa.
? Pesa za kuhangilwa.
Kama anaujua uchumi kwa nini hajaonesha kwa vitendo bungeni ambapo ndio wanapanga mambo ya uchumi.
We mbwa roho inakuuma kwakua hujasoma! Na usingeweza maana mzazi wako alikua akilewa gongo na mataputapu so asingeweza kuwa na manii za kuzaa mtoto bora mwenye akili.Wasomi wanaoamini kwenye uchawi na pesa za ndago kuwa inawezekana na bado hawawekezi kufanya research na kutuonyesha inawezekanaje kisayansi hao ndio wale Lisu huwaita “Professorial rubbish”. Na wewe umo mzee,
Zero ya Diamond imeajiri wangapi pale usafini? Huna hata baiskeli achilia hiyo simu ya mama na bado la mchepuko wake… madhara ya kufugwa hayo, utakula mpaka haram… anyways, nisipoteze muda wangu wa thamani kumpigia mbuzi gitaa… totally waste of time, energy and its extremely boring…Huna akili wewe utaniambia nini mimi? Ungefika form four ungeishia kupata division zero pakashume mkubwa.
Hahahahhaa! Vise versa is true…We mbwa roho inakuuma kwakua hujasoma! Na usingeweza maana mzazi wako alikua akilewa gongo na mataputapu so asingeweza kuwa na manii za kuzaa mtoto bora mwenye akili.