topic ya namba akafundishe maana maana mtu akiwa na pesa anawafanya mnadharau wenye elimu.
Basi na huyo mwenye uwezo wa kufundisha namba naye apewe kazi za mfanyabiashara azisimamie.
Haya eleza "income per Capita" ni nini! What's inflation? Nakusihi usiende chuo kikuu utaibika Bure! Jieleze tu kwenye vikao vya wanywa pombe.
Hii inflation uliisoma ama ulikariri desa yaani uliikuta wanaume wenzako tayari wamesha ivumbua na wakakuambia kuwa uelezee ivyo basi na wewe utakuwa juu Kama wao.
Yaani nikianzisha shule kwa Yule anayepata maswali yote nitampa Alama ndogo Bali nitajikita kwa wale wanaanza chini na kujua makosa yao Ni Nini Wana zidi kuwa Bora kila siku.
Pia elewa elimu imemfunga mwanadamu yenyewe inapima vipaji Aina mbili za wanadamu na huku binadamu tuna uwezo ama vipaji vya Aina nane.
Huwezi kumpima samaki kwa kupanda mti ama kupaa hewani elewa please.
Elimu hii Ina mapungufu na watu wenye brain kubwa wanaipinga kwanza inatengeneza mental slavers.
Hivi mbape anajua what's icho ulivyouliza Ila wewe na mbape ama usain bolt unajionaje.
Serena wiliamu hajui icho unachojivunia Ila waweza kuwa houseboy wake akakulipa zaidi ya icho unacholipwa ama kukipata.
Elon musk ameanzisha shule ya kwake mwenyewe wanawe wanasoma. Binafsi natamani niwe na shule yangu ya kufuata mtaala wangu mwenyewe na baadaye utaona watu watakavyo join namie.
Binadamu tunajifunza by osmosis yaani kwa kuona kabisa na sio kukaa kuelezewa nadharia tu.
Huwezi nihukumu mie kuwa Ni kilaza kisa tu sijui hesabu na huku mie Ni mchoraji mzuri so na wewe Ni kilaza pia.
Jamani acheni mfumo wetu wa elimu unabeba watu walio Kama kasuku.
Kwa saivi China same move from academic oriented education to veta oriented. Na Engineer aliyetokea like veta analipwa zaidi kuliko aliyetokea mfano mlimani.
Nenda kwa wakandarasi watakuambia.
Yaani Elon musk alidai hajasoma Havard Ila ameajiri walisoma hapo.
Jeff Benzos anadai kubadilisha idea kuwa physical thing Ni ishu sio ya kitoto.
Hatukatai elimu inayo mengi sema inatakiwa ifanyiwe reformatted ya kutosha.
Nguvu ambazo vijana wanatumia kwenye elimu nadhani wangezitumia kwa ishu nyingine productively nadhani tunaenda mbali mno.
Kama unasoma kilimo mfano darasaNi kidogo baadaye kwenye kilimo zaidi Lima toa mazao uza ndio upate alama Kama Mia iwe Mia.
Kama biashara Basi inatakiwa ukae kwenye Ilo eneo na uwe unaleta tunajadili ulichofunza na umeshindaje iyo challenge.
Yaani education Ni kufundisha mind how to think Bali sio kufundisha ukweli ama kukariri ukweli kuwa ndio utaheshimika na your tribal .
Elimu sio kuwa Ni mbaya sema namna watu wanavyofundishwa inawafanya wanakuwa tegemezi. Labda kidogo shule za ufundi na kilimo baadaye na technical college ziko sahihi inatakiwa tu adopt huu mfumo.
Mie nimefundishwa electrical wiring form three physics Ila nikipewa nyumba hii hapa fanya wiring siwezi.
Pia kujua English sio kuwa ndio umesoma kwa wanaojivunia English. Kama English kuijua naijua mno Ila sio kuwa ndio umefika mbinguni.
Kwani mchina ,mrusi,mfaransa ama mjapan ama mwarabu anajua ama mkorea anajua iyo English yenu na je hawana utalaamu kwani ama hawajasoma wewe ulichosoma ama unadhani English ndio inayotibu mgonjwa ama ndiyo inayopigana huko Ukraine.
English Ni muhimu ndio lugha ya dunia Ila sio English haijengi ghorofa,haichezi mpira,haitibu wagonjwa,haindeshi ndege ama haianzishi viwanda. Na English haifanyi Investment in stocks my dear. Kuna Japanese trader mmoja alitoa akaunti from $13600 to $158M ndani ya 8yrs bila ya kujua English.
Kuna wawekezaji wakubwa wanafanya biashara na wanakuambia kuwa elimu ya Harvard aka business school haijamsaidia.
Nikuambie tu hata ma prosfesa wa uchumi University wanafundisha trading various underlying financial assets like gold,oil,copper, currencies and commodities Ila hawezi kuifanya practically hata siku moja so elimu take ipo ama amekariri theory zaidi.
Sio kuwa nawabeza na sio kuwa na envy wasomi. Hata mie maisha yangu nayaendesha kwa elimu niliyopata CoET Ila sio kuwa elimu ndio everything.