Joseph Musukuma: Vyuo 11 vinanitaka nikafundishe uchumi, UDSM Ikiwemo

Joseph Musukuma: Vyuo 11 vinanitaka nikafundishe uchumi, UDSM Ikiwemo

Aisee! Ukiwa mjinga na huwezi jiona ujinga wako wewe ni mpumbav...
Tuanze kwanza na maana au tafsir ya elimu..
Huyu Msukuma hua anawaza watu hua wanapiga blaa blaa tu na wanapewa shahada.. Ukifanikiwa bas kumiliki mabas bas unakua Dr. huna andiko lenye kufuata kanuni litalorithishwa kwa wanafunz wajao na kuongeza udadis.. Hao kina Newton hata wao wenyewe hawakukifaid walichokivumbua..
Kama nchi tutaendelea kuwashangilia wapumbavu kama hawa basi tunaeza kuja kuwa taifa la ajabu sana.. Hawa watu kutoka hii kanda hua wana akili za ajabu sana hua wanajipa patent right ya kuongea utumbo na kujipongeza wenyewe.
Inawezekana nyie ndio wasomi wa makalatasi hakuna mnacho deliver kwa jamii inayo wazunguka usidhani kuandika report yenye makalatasi mengi ndio usomi

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Huyu inawezakana hana elimu ila ana kili nyingi sana,ndio maana anajiamini kuwa akiwekwa na mchumi wa darasani ambaye ana elimu na hana akili anajuwa kabisa kuwa atamgalagaza...
Inawezekana mkuu, angeenda shule ingekuwa balaa..
 
Kwani wewe unaelewaje maana hasa ya elimu?
Hivi mtu akiifundisha jamii kujikwamua kiuchumi hiyo siyo elimu?
Yeye hajapata mali serikalini isipokuwa kaingia nayo tu.
Je akiwafundisha watu namna ya kupata mali itakuwa siyo elimu!

Hayo ni mafunzo au motivational speech sio elimu. Elimu Ina sifa zake ambazo lazima zizingatiwe.
 
Sasa uchumi wa manyokanyoka hawa wasomi watauelewa, au atanza kuwanywesha dawa za miti shamba ili waingiwe na maruweruwe halafu ndo waanze kumsikiliza 😂😂😂😂.

Huyo ataenda kufundisha uchumi wa kutunza pesa kwenye kibubu au kujinyima kula ili uongeze mtaji.
 
Inawezekana nyie ndio wasomi wa makalatasi hakuna mnacho deliver kwa jamii inayo wazunguka usidhani kuandika report yenye makalatasi mengi ndio usomi

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app

Uwe na shukrani kwa wasomi hata Kama Kuna mapungufu. Fikiria wasomi wanahusiaka na madaraja , mabarabara, maujenzi, operesheni za mwili, uwakili, madaktari wa mifugo, wahasibu, wataalamu wa Kodi nk. wasomi wanapiga kazi Sana, tuache dharau.
 
Mshamba tu huyo jamaa yaani kwa sababu anamiliki pesa ndio anataka kujilinganisha na watu waliokaa darasani na wakafanya tafiti ?
 
Wewe ndio wasema hivyo, huko kwenye dunia ya kwanza Bill Gates ni college dropout, Kanye west, Elon Mask na watu wengi tu wa class yako ya kwanza hawajamaliza au kusoma vyuo…. Niambie USD Billionaire Jay z au Lebron James, Messi, Ronaldo na kina Silvester Stalon wana degree za wapi…

Pharrell Williams kawa director LV na hana hivyo vyeti vyenu zaidi ya ubunifu na vipawa. cheki output yao kwa jamii na kwao binafsi…Elimu yetu ni kifungo cha maisha… maana tunakariri kuwa msomi ndio high class… high class ni mtu mwenye kipaji, maarifa, ubunifu.

Unaweza compare idadi ya watu wanaoishi kwa kutegemea ujira wao kutoka kwa ma professor wote wa TZ vs Barkhresa pekee? Tena ambaye sio msomi, achilia mbali kina msukuma.

Endelea kuzunguka na bahasha ya kaki..

Basi na wewe au wanao wasiende shule ili wawe kama Bill Gates, Messi na Ronaldo au hata Msukuma.
 
Ndago ndio zitakuwa zinaongea kwenye mdahalo?

Kama ndago zinaleta uchumi huoni ni nzuri?

Uchumi wa ndago una limitations zake , Kuna sehemu hauvuki. Na Kama unataka kuvuka inabidi uchome watu mia moja Kama wale wa morogoro kwenye Lori la mafuta.
 
Kuna kipindi nilikuwa najutia kwa kutopata elimu,
niliumia sana nikiona washikaji zangu wakimaliza vyuo vikuu.
Ila kwa sasa wao ndio wanaonifata kuomba maarifa ya jinsi ya kufanya biashara na kuingiza pesa.
Binafsi mm msukuma kusema hivyo nimemuelewa sana kuliko wengi mlivyomuelewa, leo hii ukienda kwenye migodi yake kuna watu wana master's achilia mbali kwenye usafirishaji. Hivi niwe na hela wewe una mivyeti yako nani mwenye elimu?
Kama una elimu na bado imeshindwa kukukomboa na mwisho wa siku ukaajiriwa na asiye na elimu,
Wewe hukusoma bali ulienda kupoteza muda.
Sasa kama kutokusoma ni Bora, kwanini Msukuma kwenye migodi yake aajiri wasomi wenye Master's.
Si angekuweka wew ambae hujasoma.
 
Back
Top Bottom