Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SAwa...ana andiko lolote lile kalipublish? Au unasemea ana elimu ya mtaani?Mapropesa na madakitali PhD ndio wana zaililisha sana hapa kwetu.. Msukuma nilibahatika kukaa mala mbili.. nje ya fujo za siasa na mambo yake binafsi.. kichwani ana kitu cha ziada na elimu yake ( maarifa yake ) yanafaa
Aisee! Ukiwa mjinga na huwezi jiona ujinga wako wewe ni mpumbav...
Tuanze kwanza na maana au tafsir ya elimu..
Huyu Msukuma hua anawaza watu hua wanapiga blaa blaa tu na wanapewa shahada.. Ukifanikiwa bas kumiliki mabas bas unakua Dr. huna andiko lenye kufuata kanuni litalorithishwa kwa wanafunz wajao na kuongeza udadis.. Hao kina Newton hata wao wenyewe hawakukifaid walichokivumbua..
Kama nchi tutaendelea kuwashangilia wapumbavu kama hawa basi tunaeza kuja kuwa taifa la ajabu sana.. Hawa watu kutoka hii kanda hua wana akili za ajabu sana hua wanajipa patent right ya kuongea utumbo na kujipongeza wenyewe.
Hao wana publish wamefanya nini kwenye hili taifa ? Kuna watu hawana machapisho na hawajulikani, ila wapo vizuri sasa katika utekelezeji.. sio hayo maelimu ya makaratasi.. Mfano haga sie tulipo maliza vyou kazi tumeendwa fundishaa na wazee wasio cheti.. na issue complex zikitokea wanakuja solve.. elimu ya makaratasi imeharibu vichw vya watu.. Niambie Newtons niambie kuhusu Enstein.. Machapisho na vyeti hapo tuu..SAwa...ana andiko lolote lile kalipublish? Au unasemea ana elimu ya mtaani?
Hivi anaweza kutunga hata sentensi ya Kingereza?au basi !
Kuna possibility kubwa kuwa hivyo Vyuo Vikuu 11 vinavyomhitaji Akakufunzi / Akafundishe vikawa na Watendaji Majuha ( Nuts ) kuliko inavyoaminika.Hello Wadau..
Mbunge wa Geita Dkt. Musukuma amesema Hajalipa dola 2500 kununua PhD Bali amelipa ada tuu ya dola 200.
Musukuma amesema yeye ni Mchumi wa heshima na mwenye maarifa na alipenda heshima ya udaktari wa falsafa baada ya waliompa kufanya utafiti wa uwezo wake.
Dkt. Musukuma amesema vyuo mbalimbali vimekuwa vikimualika Ili aende kutoa muhadhara ila hajafanikiwa kwenda Kwa sababu ya Ugumu wa ratiba yake. Miongoni mwa vyuo vinavyomhitaji ni Udsm..
Msukuma amesema yeyote mwenye shaka na uwezo wake basi Wasomi waandae mdahalo wa kiuchumi kati yake Musukuma na huyo profesa wa Chuo Kikuu halafu Wananchi ndio waamue nani ni Mchumi wa kweli na nani ni Mchumi wa makaratasi..🤪🤪
My Take
Msukuma lamatia hapo hapo maana hata wanaojiita wamesoma hakuna cha maana wamefanyia nchi hii zaidi ya Ufisadi na kujidai..
Twende kazi Dkt. Musukuma
unachekesha, si wanasema kiingereza si hoja? Ataongea kiswahili inatoshaHuyu anapaswa kutafutia mjadala mkali wa kiingereza akadhalilike na iwe mwisho wake wa kuongea UJINGA.
Uchumi wa Musukuma unajulikana, ni ndago.Hello Wadau..
Mbunge wa Geita Dkt. Musukuma amesema Hajalipa dola 2500 kununua PhD Bali amelipa ada tuu ya dola 200.
Musukuma amesema yeye ni Mchumi wa heshima na mwenye maarifa na alipenda heshima ya udaktari wa falsafa baada ya waliompa kufanya utafiti wa uwezo wake.
Dkt. Musukuma amesema vyuo mbalimbali vimekuwa vikimualika Ili aende kutoa muhadhara ila hajafanikiwa kwenda Kwa sababu ya Ugumu wa ratiba yake. Miongoni mwa vyuo vinavyomhitaji ni Udsm..
Msukuma amesema yeyote mwenye shaka na uwezo wake basi Wasomi waandae mdahalo wa kiuchumi kati yake Musukuma na huyo profesa wa Chuo Kikuu halafu Wananchi ndio waamue nani ni Mchumi wa kweli na nani ni Mchumi wa makaratasi..🤪🤪
My Take
Msukuma lamatia hapo hapo maana hata wanaojiita wamesoma hakuna cha maana wamefanyia nchi hii zaidi ya Ufisadi na kujidai..
Twende kazi Dkt. Musukuma
Kaongea ukweli
Wewe mchumi unayemiliki Dr. Umekosa hata kiwanja au biashara huo uchumi wako unafaida gani kwenye jamii.
Tuna PhD za makalatasi ukija field Ni zero zero zero
Msukuma kazia hapo
Inawezekana kabisa, huyu jamaa hana Elimu lakini ana pesa ,labda amealikwa kuzungumza siku moja
Asichezee elimu huyo jamaa, Uchumi siyo ishu ya kitoto waulize 5&6 tuu waliosoma DD/SS.
Kama unaandika mala instead of Mara basi wewe na musukuma hakuna tofautiyuko sawa kabisa binafs sijaona kazi ya wasomi wa nchi hii bora ya msukuma mala 100 kaairi vijana kwenye migodi yake na masi yake kuliko haya yanaojiita masomi kazi wizi tu
Kwahiyo chuo kinachozalisha maprofu wa jalalani kinamuhitaji Dokta wa mitishambà?😅this is serious
Msukuma yupo sahihi,alaumiwe Mwigulu kwa utendaji wake
Mpumbavu mbavu sana wewe jamaa, kama na wewe ni msomi basi acha msukuma ajiite PhD holder, kama hiyo mimba ya watu wa hiyo KANDA inakutesa sana basi itoe.Aisee! Ukiwa mjinga na huwezi jiona ujinga wako wewe ni mpumbav...
Tuanze kwanza na maana au tafsir ya elimu..
Huyu Msukuma hua anawaza watu hua wanapiga blaa blaa tu na wanapewa shahada.. Ukifanikiwa bas kumiliki mabas bas unakua Dr. huna andiko lenye kufuata kanuni litalorithishwa kwa wanafunz wajao na kuongeza udadis.. Hao kina Newton hata wao wenyewe hawakukifaid walichokivumbua..
Kama nchi tutaendelea kuwashangilia wapumbavu kama hawa basi tunaeza kuja kuwa taifa la ajabu sana.. Hawa watu kutoka hii kanda hua wana akili za ajabu sana hua wanajipa patent right ya kuongea utumbo na kujipongeza wenyewe.
yuko sawa kabisa binafs sijaona kazi ya wasomi wa nchi hii bora ya msukuma mala 100 kaairi vijana kwenye migodi yake na masi yake kuliko haya yanaojiita masomi kazi wizi tu