Rufiji dam
JF-Expert Member
- Feb 20, 2020
- 4,107
- 9,671
Huyu anapaswa kutafutia mjadala mkali wa kiingereza akadhalilike na iwe mwisho wake wa kuongea UJINGA.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unachanganya mambo! Huyu hana qualifications ila elimu anayo, pengine kubwa kuzidi hata ile ya kwano wewe uliyetumia miaka kadhaa ukiwa umekaa kwenye viti madarasaniAisee! Ukiwa mjinga na huwezi jiona ujinga wako wewe ni mpumbav...
Elimu anayo kubwa sana; asichokuwa nacho ni qualifications!Inawezekana kabisa, huyu jamaa hana Elimu lakini ana pesa ,labda amealikwa kuzungumza siku moja
Hello Wadau..
Mbunge wa Geita Dkt. Musukuma amesema Hajalipa dola 2500 kununua PhD Bali amelipa ada tuu ya dola 200.
Musukuma amesema yeye ni Mchumi wa heshima na mwenye maarifa na alipenda heshima ya udaktari wa falsafa baada ya waliompa kufanya utafiti wa uwezo wake.
Dkt. Musukuma amesema vyuo mbalimbali vimekuwa vikimualika Ili aende kutoa muhadhara ila hajafanikiwa kwenda Kwa sababu ya Ugumu wa ratiba yake. Miongoni mwa vyuo vinavyomhitaji ni Udsm..
Msukuma amesema yeyote mwenye shaka na uwezo wake basi Wasomi waandae mdahalo wa kiuchumi kati yake Musukuma na huyo profesa wa Chuo Kikuu halafu Wananchi ndio waamue nani ni Mchumi wa kweli na nani ni Mchumi wa makaratasi..🤪🤪
My Take
Msukuma lamatia hapo hapo maana hata wanaojiita wamesoma hakuna cha maana wamefanyia nchi hii zaidi ya Ufisadi na kujidai..
Twende kazi Dkt. Musukuma
👇
Kuna doctor Tanzania aliyeandika alichokivumbua yeye! Au kuonyesha ubora wa kukariri content za nje, elimu isiyokuwa results oriented ni kifungo cha maisha badala ya ufunguo wa maisha…Aisee! Ukiwa mjinga na huwezi jiona ujinga wako wewe ni mpumbav...
Tuanze kwanza na maana au tafsir ya elimu..
Huyu Msukuma hua anawaza watu hua wanapiga blaa blaa tu na wanapewa shahada.. Ukifanikiwa bas kumiliki mabas bas unakua Dr. huna andiko lenye kufuata kanuni litalorithishwa kwa wanafunz wajao na kuongeza udadis.. Hao kina Newton hata wao wenyewe hawakukifaid walichokivumbua..
Kama nchi tutaendelea kuwashangilia wapumbavu kama hawa basi tunaeza kuja kuwa taifa la ajabu sana.. Hawa watu kutoka hii kanda hua wana akili za ajabu sana hua wanajipa patent right ya kuongea utumbo na kujipongeza wenyewe.
Wewe ndio wasema hivyo, huko kwenye dunia ya kwanza Bill Gates ni college dropout, Kanye west, Elon Mask na watu wengi tu wa class yako ya kwanza hawajamaliza au kusoma vyuo…. Niambie USD Billionaire Jay z au Lebron James, Messi, Ronaldo na kina Silvester Stalon wana degree za wapi…Evolution ya mwafrika haijakamilika... ndo maana si ajabu watu wa aina hii waliokua wakishinda kukandia na kutukana wasomi wakijinasibisha wao wasiosoma ni bora na elimu ni kupoteza muda huku rohoni wakililia na kutamani hizo title za kisomi!!
Huyu jamaa ni wa hovyo mno.
Hivi kwanini mnachukuaga sample ndogo za wasiosoma wakafanikiwa halafu kundi kubwa la wapiga debe,panya road,madalali wadogo wa mitaani,Makonda daladala,madereva omba omba mitaani hawa mbona huwa hamuwasemagi?Wewe ndio wasema hivyo, huko kwenye dunia ya kwanza Bill Gates ni college dropout, Kanye west, Elon Mask na watu wengi tu wa class yako ya kwanza hawajamaliza au kusoma vyuo…. Niambie USD Billionaire Jay z au Lebron James, Messi, Ronaldo na kina Silvester Stalon wana degree za wapi…
Pharrell Williams kawa director LV na hana hivyo vyeti vyenu zaidi ya ubunifu na vipawa. cheki output yao kwa jamii na kwao binafsi…Elimu yetu ni kifungo cha maisha… maana tunakariri kuwa msomi ndio high class… high class ni mtu mwenye kipaji, maarifa, ubunifu.
Unaweza compare idadi ya watu wanaoishi kwa kutegemea ujira wao kutoka kwa ma professor wote wa TZ vs Barkhresa pekee? Tena ambaye sio msomi, achilia mbali kina msukuma.
Endelea kuzunguka na bahasha ya kaki..
Ulivyo mpumbavu na zezeta umeshindwa hata kuelewa theme ya bandiko lqngu umekimbia kule kule kwenye kichaka chenu cha unyani kima wewe. Soma historia vizuri za hao watu kisha urudi hapa.Wewe ndio wasema hivyo, huko kwenye dunia ya kwanza Bill Gates ni college dropout, Kanye west, Elon Mask na watu wengi tu wa class yako ya kwanza hawajamaliza au kusoma vyuo…. Niambie USD Billionaire Jay z au Lebron James, Messi, Ronaldo na kina Silvester Stalon wana degree za wapi…
Pharrell Williams kawa director LV na hana hivyo vyeti vyenu zaidi ya ubunifu na vipawa. cheki output yao kwa jamii na kwao binafsi…Elimu yetu ni kifungo cha maisha… maana tunakariri kuwa msomi ndio high class… high class ni mtu mwenye kipaji, maarifa, ubunifu.
Unaweza compare idadi ya watu wanaoishi kwa kutegemea ujira wao kutoka kwa ma professor wote wa TZ vs Barkhresa pekee? Tena ambaye sio msomi, achilia mbali kina msukuma.
Endelea kuzunguka na bahasha ya kaki..
Mjinga kwa angle ipi? Uchumi ni matendo na sio kuwa na utitiri wa makaratasi ambayo hayana impact yoyote kwako binafsi na jamii inayokuzunguka.Aisee! Ukiwa mjinga na huwezi jiona ujinga wako wewe ni mpumbav...
Tuanze kwanza na maana au tafsir ya elimu..
Huyu Msukuma hua anawaza watu hua wanapiga blaa blaa tu na wanapewa shahada.. Ukifanikiwa bas kumiliki mabas bas unakua Dr. huna andiko lenye kufuata kanuni litalorithishwa kwa wanafunz wajao na kuongeza udadis.. Hao kina Newton hata wao wenyewe hawakukifaid walichokivumbua..
Kama nchi tutaendelea kuwashangilia wapumbavu kama hawa basi tunaeza kuja kuwa taifa la ajabu sana.. Hawa watu kutoka hii kanda hua wana akili za ajabu sana hua wanajipa patent right ya kuongea utumbo na kujipongeza wenyewe.
CCM bado wako kwenye zama za wajinga wawili wakiunga wanamzidi msomi mmojaAisee! Ukiwa mjinga na huwezi jiona ujinga wako wewe ni mpumbav...
Tuanze kwanza na maana au tafsir ya elimu..
Huyu Msukuma hua anawaza watu hua wanapiga blaa blaa tu na wanapewa shahada.. Ukifanikiwa bas kumiliki mabas bas unakua Dr. huna andiko lenye kufuata kanuni litalorithishwa kwa wanafunz wajao na kuongeza udadis.. Hao kina Newton hata wao wenyewe hawakukifaid walichokivumbua..
Kama nchi tutaendelea kuwashangilia wapumbavu kama hawa basi tunaeza kuja kuwa taifa la ajabu sana.. Hawa watu kutoka hii kanda hua wana akili za ajabu sana hua wanajipa patent right ya kuongea utumbo na kujipongeza wenyewe.
Kuna kipindi nilikuwa najutia kwa kutopata elimu,Hivi kwanini mnachukuaga sample ndogo za wasiosoma wakafanikiwa halafu kundi kubwa la wapiga debe,panya road,madalali wadogo wa mitaani,Makonda daladala,madereva omba omba mitaani hawa mbona huwa hamuwasemagi?
Binafsi sipendi kizazi cha siku hizi kunavyo zarau elimu
Pamoja na hayo, bado tuipe heshima ELIMU!Kaongea ukweli
Wewe mchumi unayemiliki Dr. Umekosa hata kiwanja au biashara huo uchumi wako unafaida gani kwenye jamii.
Tuna PhD za makalatasi ukija field Ni zero zero zero
Msukuma kazia hapo
Elimu ya Tanzania ni ya kukalilishwaPamoja na hayo, bado tuipe heshima ELIMU!
Tutafika mahali, tutaona ELIMU haina maana, kisa una fedha, bila kujali umeipataje!
Jamaa hata ukikaa kuongea nae face to face ana kitu cha ziada kichwani, ukiachana na siasa na elimu ya makaratasiInawezekana kabisa, huyu jamaa hana Elimu lakini ana pesa ,labda amealikwa kuzungumza siku moja
Labda ELIMU ya USHIRIKINA!Elimu anayo kubwa sana; asichokuwa nacho ni qualifications!
Mapropesa na madakitali PhD ndio wana zaililisha sana hapa kwetu.. Msukuma nilibahatika kukaa mala mbili.. nje ya fujo za siasa na mambo yake binafsi.. kichwani ana kitu cha ziada na elimu yake ( maarifa yake ) yanafaaElimu inadhalilishwa mno jamani..arghh