Joseph Musukuma: Vyuo 11 vinanitaka nikafundishe uchumi, UDSM Ikiwemo

Joseph Musukuma: Vyuo 11 vinanitaka nikafundishe uchumi, UDSM Ikiwemo

Hello Wadau..

Mbunge wa Geita Dkt. Musukuma amesema Hajalipa dola 2500 kununua PhD Bali amelipa ada tuu ya dola 200.

Musukuma amesema yeye ni Mchumi wa heshima na mwenye maarifa na alipenda heshima ya udaktari wa falsafa baada ya waliompa kufanya utafiti wa uwezo wake.

Dkt. Musukuma amesema vyuo mbalimbali vimekuwa vikimualika Ili aende kutoa muhadhara ila hajafanikiwa kwenda Kwa sababu ya Ugumu wa ratiba yake. Miongoni mwa vyuo vinavyomhitaji ni Udsm..

Msukuma amesema yeyote mwenye shaka na uwezo wake basi Wasomi waandae mdahalo wa kiuchumi kati yake Musukuma na huyo profesa wa Chuo Kikuu halafu Wananchi ndio waamue nani ni Mchumi wa kweli na nani ni Mchumi wa makaratasi..🤪🤪

My Take

Msukuma lamatia hapo hapo maana hata wanaojiita wamesoma hakuna cha maana wamefanyia nchi hii zaidi ya Ufisadi na kujidai..

Twende kazi Dkt. Musukuma
👇

Sasa kwa nini hajaenda, tujue kama anayoongea ni kweli.
 
Aisee! Ukiwa mjinga na huwezi jiona ujinga wako wewe ni mpumbav...
Tuanze kwanza na maana au tafsir ya elimu..
Huyu Msukuma hua anawaza watu hua wanapiga blaa blaa tu na wanapewa shahada.. Ukifanikiwa bas kumiliki mabas bas unakua Dr. huna andiko lenye kufuata kanuni litalorithishwa kwa wanafunz wajao na kuongeza udadis.. Hao kina Newton hata wao wenyewe hawakukifaid walichokivumbua..
Kama nchi tutaendelea kuwashangilia wapumbavu kama hawa basi tunaeza kuja kuwa taifa la ajabu sana.. Hawa watu kutoka hii kanda hua wana akili za ajabu sana hua wanajipa patent right ya kuongea utumbo na kujipongeza wenyewe.
Kuna doctor Tanzania aliyeandika alichokivumbua yeye! Au kuonyesha ubora wa kukariri content za nje, elimu isiyokuwa results oriented ni kifungo cha maisha badala ya ufunguo wa maisha…
 
Evolution ya mwafrika haijakamilika... ndo maana si ajabu watu wa aina hii waliokua wakishinda kukandia na kutukana wasomi wakijinasibisha wao wasiosoma ni bora na elimu ni kupoteza muda huku rohoni wakililia na kutamani hizo title za kisomi!!

Huyu jamaa ni wa hovyo mno.
Wewe ndio wasema hivyo, huko kwenye dunia ya kwanza Bill Gates ni college dropout, Kanye west, Elon Mask na watu wengi tu wa class yako ya kwanza hawajamaliza au kusoma vyuo…. Niambie USD Billionaire Jay z au Lebron James, Messi, Ronaldo na kina Silvester Stalon wana degree za wapi…

Pharrell Williams kawa director LV na hana hivyo vyeti vyenu zaidi ya ubunifu na vipawa. cheki output yao kwa jamii na kwao binafsi…Elimu yetu ni kifungo cha maisha… maana tunakariri kuwa msomi ndio high class… high class ni mtu mwenye kipaji, maarifa, ubunifu.

Unaweza compare idadi ya watu wanaoishi kwa kutegemea ujira wao kutoka kwa ma professor wote wa TZ vs Barkhresa pekee? Tena ambaye sio msomi, achilia mbali kina msukuma.

Endelea kuzunguka na bahasha ya kaki..
 

Mbunge wa Jimbo la Geita Vijijini Joseph Musukuma amesema vyuo vikuu 11 Tanzania vinamtaka akafundishe masuala ya uchumi aongeza kuwa anayepinga udaktari wake uchunguzi ufanyike na anayebisha wakae kwenye debate watanzania ndio wataamua.
 
Wewe ndio wasema hivyo, huko kwenye dunia ya kwanza Bill Gates ni college dropout, Kanye west, Elon Mask na watu wengi tu wa class yako ya kwanza hawajamaliza au kusoma vyuo…. Niambie USD Billionaire Jay z au Lebron James, Messi, Ronaldo na kina Silvester Stalon wana degree za wapi…

Pharrell Williams kawa director LV na hana hivyo vyeti vyenu zaidi ya ubunifu na vipawa. cheki output yao kwa jamii na kwao binafsi…Elimu yetu ni kifungo cha maisha… maana tunakariri kuwa msomi ndio high class… high class ni mtu mwenye kipaji, maarifa, ubunifu.

Unaweza compare idadi ya watu wanaoishi kwa kutegemea ujira wao kutoka kwa ma professor wote wa TZ vs Barkhresa pekee? Tena ambaye sio msomi, achilia mbali kina msukuma.

Endelea kuzunguka na bahasha ya kaki..
Hivi kwanini mnachukuaga sample ndogo za wasiosoma wakafanikiwa halafu kundi kubwa la wapiga debe,panya road,madalali wadogo wa mitaani,Makonda daladala,madereva omba omba mitaani hawa mbona huwa hamuwasemagi?

Binafsi sipendi kizazi cha siku hizi kunavyo zarau elimu
 

Wewe ndio wasema hivyo, huko kwenye dunia ya kwanza Bill Gates ni college dropout, Kanye west, Elon Mask na watu wengi tu wa class yako ya kwanza hawajamaliza au kusoma vyuo…. Niambie USD Billionaire Jay z au Lebron James, Messi, Ronaldo na kina Silvester Stalon wana degree za wapi…

Pharrell Williams kawa director LV na hana hivyo vyeti vyenu zaidi ya ubunifu na vipawa. cheki output yao kwa jamii na kwao binafsi…Elimu yetu ni kifungo cha maisha… maana tunakariri kuwa msomi ndio high class… high class ni mtu mwenye kipaji, maarifa, ubunifu.

Unaweza compare idadi ya watu wanaoishi kwa kutegemea ujira wao kutoka kwa ma professor wote wa TZ vs Barkhresa pekee? Tena ambaye sio msomi, achilia mbali kina msukuma.

Endelea kuzunguka na bahasha ya kaki..
Ulivyo mpumbavu na zezeta umeshindwa hata kuelewa theme ya bandiko lqngu umekimbia kule kule kwenye kichaka chenu cha unyani kima wewe. Soma historia vizuri za hao watu kisha urudi hapa.

Mnapenda sana kujifariji kitoto ila moyoni mwenu mnatamani sana sifa ya kuitwa wasomi, hapo ulipo umeshindwa maana hukua na akili ulikua tutusa au garasa darani mmebaki kujifariji na nyenyenye za kipumbavu!

Kwa taarifa yako mi sio kima kama wewe nipo mbali sana kimaisha sababu ya shule we endelea kuuza ngogwe hapo mabibo kima wewe.
 
Aisee! Ukiwa mjinga na huwezi jiona ujinga wako wewe ni mpumbav...
Tuanze kwanza na maana au tafsir ya elimu..
Huyu Msukuma hua anawaza watu hua wanapiga blaa blaa tu na wanapewa shahada.. Ukifanikiwa bas kumiliki mabas bas unakua Dr. huna andiko lenye kufuata kanuni litalorithishwa kwa wanafunz wajao na kuongeza udadis.. Hao kina Newton hata wao wenyewe hawakukifaid walichokivumbua..
Kama nchi tutaendelea kuwashangilia wapumbavu kama hawa basi tunaeza kuja kuwa taifa la ajabu sana.. Hawa watu kutoka hii kanda hua wana akili za ajabu sana hua wanajipa patent right ya kuongea utumbo na kujipongeza wenyewe.
Mjinga kwa angle ipi? Uchumi ni matendo na sio kuwa na utitiri wa makaratasi ambayo hayana impact yoyote kwako binafsi na jamii inayokuzunguka.

The way unavyoweza kuconvert ideas kuja kwenye pesa ndicho kinacho matter sana kuliko ngonjera za usomi na phd.
 
Aisee! Ukiwa mjinga na huwezi jiona ujinga wako wewe ni mpumbav...
Tuanze kwanza na maana au tafsir ya elimu..
Huyu Msukuma hua anawaza watu hua wanapiga blaa blaa tu na wanapewa shahada.. Ukifanikiwa bas kumiliki mabas bas unakua Dr. huna andiko lenye kufuata kanuni litalorithishwa kwa wanafunz wajao na kuongeza udadis.. Hao kina Newton hata wao wenyewe hawakukifaid walichokivumbua..
Kama nchi tutaendelea kuwashangilia wapumbavu kama hawa basi tunaeza kuja kuwa taifa la ajabu sana.. Hawa watu kutoka hii kanda hua wana akili za ajabu sana hua wanajipa patent right ya kuongea utumbo na kujipongeza wenyewe.
CCM bado wako kwenye zama za wajinga wawili wakiunga wanamzidi msomi mmoja
 
Hivi kwanini mnachukuaga sample ndogo za wasiosoma wakafanikiwa halafu kundi kubwa la wapiga debe,panya road,madalali wadogo wa mitaani,Makonda daladala,madereva omba omba mitaani hawa mbona huwa hamuwasemagi?

Binafsi sipendi kizazi cha siku hizi kunavyo zarau elimu
Kuna kipindi nilikuwa najutia kwa kutopata elimu,
niliumia sana nikiona washikaji zangu wakimaliza vyuo vikuu.
Ila kwa sasa wao ndio wanaonifata kuomba maarifa ya jinsi ya kufanya biashara na kuingiza pesa.
Binafsi mm msukuma kusema hivyo nimemuelewa sana kuliko wengi mlivyomuelewa, leo hii ukienda kwenye migodi yake kuna watu wana master's achilia mbali kwenye usafirishaji. Hivi niwe na hela wewe una mivyeti yako nani mwenye elimu?
Kama una elimu na bado imeshindwa kukukomboa na mwisho wa siku ukaajiriwa na asiye na elimu,
Wewe hukusoma bali ulienda kupoteza muda.
 
Kaongea ukweli
Wewe mchumi unayemiliki Dr. Umekosa hata kiwanja au biashara huo uchumi wako unafaida gani kwenye jamii.

Tuna PhD za makalatasi ukija field Ni zero zero zero

Msukuma kazia hapo
Pamoja na hayo, bado tuipe heshima ELIMU!
Tutafika mahali, tutaona ELIMU haina maana, kisa una fedha, bila kujali umeipataje!
 
Back
Top Bottom