econonist
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 20,189
- 29,663
Ndio ,Spika alisema wamenunua PhD Kwa dola 2500
Hata msukuma amenunua. Kadai kutoa Dola 250 za ada. Sasa PhD ya kupewa unalipiaje ada?. Maana ya kupewa chuo kinakuyunuku chenyewe na hauombi kutunukiwa Kama kina msukuma.