We mbwa narudia tena huna shule na hata ungesoma ungeishia kupata zero ndo maana mna hasira sana na wasomi... hiyo kima mwenzio ulomtaja ndo wale wale sahv wanananunua vyeti ili waitwe ma PhD holder...Zero ya Diamond imeajiri wangapi pale usafini? Huna hata baiskeli achilia hiyo simu ya mama na bado la mchepuko wake… madhara ya kufugwa hayo, utakula mpaka haram… anyways, nisipoteze muda wangu wa thamani kumpigia mbuzi gitaa… totally waste of time, energy and its extremely boring…
Mbwa ni mama yako aliyezaa mbwa kichaa anayebweka bila kituo, kima ni kivutio cha utalii na kinaingizia pato taifa, wewe msomi fisadi wa kalamu unayelinyonya taifa utaniambia nini mimi muwekezaji darasa la saba? RIPWe mbwa narudia tena huna shule na hata ungesoma ungeishia kupata zero ndo maana mna hasira sana na wasomi... hiyo kima mwenzio ulomtaja ndo wale wale sahv wanananunua vyeti ili waitwe ma PhD holder...
Nyie ni kima tu.
Unaipataje fedha bila elimu? Ukahaba unahitaji hiyo elimu, muziki, mpira na hata issue nyinginezo… tatizo lililopo hapa ni hizo sifa za kujiita wasomi kisa umefika chuo kikuu na huna fedha kumshinda fundi mbao ambaye elimu yake ni ya hizo mbao tu!Pamoja na hayo, bado tuipe heshima ELIMU!
Tutafika mahali, tutaona ELIMU haina maana, kisa una fedha, bila kujali umeipataje!
Kwani ushamba wako lazma uuhusanishe na uskuma wako!?Jamani hvi mmeshasahau kwamba sisi wasukuma huwa tuna kaushamba ka asili ambako kanatunyemelea kila tuendapo? Ni asili ya ushamba tu inamsumbua huyu mwananzengo mwenzetu!
Nenda kushoto rudi kulia mwisho wa siku target ni hela, gotta make it home to your family… sio vyeti, hakuna mtoto wa binadamu anakula vyeti labda wa panya…Unaipataje fedha bila elimu? Ukahaba unahitaji hiyo elimu, muziki, mpira na hata issue nyinginezo… tatizo lililopo hapa ni hizo sifa za kujiita wasomi kisa umefika chuo kikuu na huna fedha kumshinda fundi mbao ambaye elimu yake ni ya hizo mbao tu!
Unajiona ulivyo kima trna wa madoa doa? Mara uniambie nazunguka na bahasha za kaki mara uniambie sina kipato mara hapa unaniita fisadi tushike lipi? Roho inakuuma kwa kisomo changi? Usiumie juu yangu umia juu ya babako alokua mlevi akakosa manii bora akakuzaa wewe mbilikimo kilaza leo unachukis wasomi bila sababu.Mbwa ni mama yako aliyezaa mbwa kichaa anayebweka bila kituo, kima ni kivutio cha utalii na kinaingizia pato taifa, wewe msomi fisadi wa kalamu unayelinyonya taifa utaniambia nini mimi muwekezaji darasa la saba? RIP
JitafakariNaona Musukuma kakushika pabaya [emoji2957][emoji2957]
Ulienda shule ama? Kama ulienda shule haukupaswa kuuliza swali la kimata call kama hili.Unataka kusema English ndiyo kipimo cha elimu?
Hivi mtaamka lini nyie?
Hebu nenda china, Korea kusini+ kaskazini.
Hiyo dola 200 kalipa ya nini?yuko sawa kabisa binafs sijaona kazi ya wasomi wa nchi hii bora ya msukuma mala 100 kaairi vijana kwenye migodi yake na masi yake kuliko haya yanaojiita masomi kazi wizi tu
Mimi naona wewe na yeye mpo sawa tu kiakili ni wabishi wapumbavUnachanganya mambo! Huyu hana qualifications ila elimu anayo, pengine kubwa kuzidi hata ile ya kwano wewe uliyetumia miaka kadhaa ukiwa umekaa kwenye viti madarasani
Unaharisha sanaMpumbavu mbavu sana wewe jamaa, kama na wewe ni msomi basi acha msukuma ajiite PhD holder, kama hiyo mimba ya watu wa hiyo KANDA inakutesa sana basi itoe.