Joseph Musukuma: Wazungu wanatuwekea ushoga kwenye chanjo; haiwezekani binti wa miaka 10 avae sidiria

Joseph Musukuma: Wazungu wanatuwekea ushoga kwenye chanjo; haiwezekani binti wa miaka 10 avae sidiria

Mijini ndio wamezidi sana.

Miaka 10 anayosema Musukuma ni mingi sana, miaka 8 tu mtoto saa 8, sijui ni haya mavyakula ukiachana na hoja ya Musukuma.

Vijijini angalau unaweza kukuta mtoto wa zaidi ya miaka 10 bado hana maziwa, ila mjini rare.

Upande wa vitoto vya kiume navyo vinapevuka mapema, miaka 12 katoto tayari..

Enzi zetu ilikuwa kawaida mtoto wa kiume kuvuka 15 akiwa hajapevuka...
Mabadiliko ya Tabia nchi 🐼
 
Wakati akichangia hotuba ya bajeti ya Wizara ya Afya bungeni Dodoma, Dr Msukuma ameshangaa mabinti wa miaka 10 tu kuwa na maziwa yaliyotutumuka kiasi cha kuhitaji kuvaa sidiria. Amedai utafiti huo ameufanya huko mashuleni na kuwaomba wabunge wengine nao waende wakafanye ili kujiridhisha. Sitaki kuwapotezea muda na maneno mengi, hebu msikilize nyinyi wenyewe.

View attachment 2989832
MAONI YANGU
Namuunga mkono daktari Msukuma kwa asilimia zote. Siku hizi ukikutana na binti wa miaka 10 njiani ukimuangalia kifuani hadi unaogopa na kuona aibu. Na sio mabinti tu, hata wanaume nao wana chuchu kubwa mithiri ya wanawake

Kuna uwezekano mkubwa wazungu wanatuwekea homoni za ushoga kwenye chanjo. Hili suala liangaliwe kwa undani kwani sio mara ya kwanza kusikia ushuhuda huu hapa nchini. Tusibeze wala kudharau kwani mdharau mwiba mguu huota tende. Waziri Ummy Mwalimu tunakuomba uzifanyie utafiti hizi chanjo za bure za wazungu zisije zikatuletea shida hapo baadaye.

Pia soma: Shekhe aipinga vikali chanjo ya malaria mbele ya Waziri wa Afya, kisa ushoga; hamuogopi mtu yeyote!


Hizo Hormones za USHOGA zinafahamika ua zinaitwaje kwa kisayansi.

Halafu hao watoto wa miaka 7 - 8 wenye maziwa makubwa wako mitaa gani .... maana wengine hajuawaona huko mitaani. AU hizi ni consipirous theories .... maana Watanzania kila kitu kinaleta Ushoga. Colgate zilisambazwa mashuleni tukaambiwa zinaleta ushoga, chakula cha msaada kwa watoto wa shule kule Dodoma nao tukaambiwa ni unaleta ushoga .... sasa basi tupunguze kuagiza bidhaa kutoka nje.
 
Mijini ndio wamezidi sana.

Miaka 10 anayosema Musukuma ni mingi sana, miaka 8 tu mtoto saa 8, sijui ni haya mavyakula ukiachana na hoja ya Musukuma.

Vijijini angalau unaweza kukuta mtoto wa zaidi ya miaka 10 bado hana maziwa, ila mjini rare.

Upande wa vitoto vya kiume navyo vinapevuka mapema, miaka 12 katoto tayari..

Enzi zetu ilikuwa kawaida mtoto wa kiume kuvuka 15 akiwa hajapevuka...
Nyakati hizi tunataka vitu vya haraka haraka, mazao yaoteshwe, kukua na kuvunwa haraka, mifugo vivyo hivyo na tunatumia madawa, viini lishe au hormone kufanya hivyo.
Kwa nini tutegemee walaji wasiwe hivyo?
Ukila kuku wa nyama wa kisasa na wewe lazima mwili wako uwe wa nyama za kisasa.
 
huyu nae mtu mzima ovyo how unafocus na mazowa ya watoto ayo ni maumbile tu mbona hao hao wa miak 10 wengne ad 13 hawna manyonyo changamoto ni kuzdsha aina flan ya vyakula vya antficial km chips mayai mayai ya kisas burger piza bt chanjo kila mtu kapgw sana tu paka tunakua kama iv ila wapo wana maziwa madog tu..moe naona kiwango cha kufkir cha mueshimiwa manak ni darasa la7..alobeba majkum makubwa ya kutunga sheria ya nchi knyume na uwez wa elim yake nafkr shelia zpitiwe upya daras la7 uwez changia vya mana ndio wananch wke wamemtuma awasemee shida iyo jmbon kwake shame aache kunyanyapaa watt hat wao awapend mionekano yao ukchnguz utaon wadg wnye maziw makubw wanakua awap confotable km kufcha kfua au kurudsha nyuma kfua wakitembea kaul yke ni pgo kwao pia
Umeongea ukweli 100% mkuu
 
Kwahio msukuma anatuchungulia tu toto twa miaka kumi 😂😂
Naunga mkono unachoongea huyo Msukuma alionaje hizi sidiria hivyo vitoto vinavaa wakati ni vazi la ndani ya nguo alivivua akaona hizo sidiria? Waziri amuhoji huyo Msukuma alijuaje kuwa vinavaa sidiria? Sababu Anasema ninwengi wanavaa Ina maana aliwafunua kuziona

Watetezi wa haki za watoto ingilieni kati Hilo hizo sidiria aliiziona wapi?

Mkewe pia amuulize Msukuma alikoziona hizo sidiria
 
Back
Top Bottom