Joseph Musukuma: Wazungu wanatuwekea ushoga kwenye chanjo; haiwezekani binti wa miaka 10 avae sidiria

Joseph Musukuma: Wazungu wanatuwekea ushoga kwenye chanjo; haiwezekani binti wa miaka 10 avae sidiria

Huyu Mbunge anaongea Rubbish na hajui kuwa adui ni BPA kwenye plastic ambazo zinamimic hormones na haswa Astrogen unakuta Watu bado wanatumia sana vyombo vya plastic pamoja na kufunikia vyakula.

BPA is a known endocrine disruptor. Although initially considered to be a weak environmental estrogen, more recent studies have demonstrated that BPA may be similar in potency to estradiol in stimulating some cellular responses.

Halafu Waziri wa Afya kazi yake ni kusifia na kupongeza wakati BPA inawamaliza Wananchi.

Hii Nchi imejaa Viongozi Wajinga.
Ukweli ndiyo huo.
 
Hiyo inaweza kuwa athari ya chakula tunachotumia na mtindo wa maisha japo haina maana ya kupuuza alichosema Dakta JK Musukuma.

Kingine kasi ya kutisha ya ongezeko la watoto wenye mtindio wa ubongo unaoenda sanjari na ulemavu wa viungo vya mwili ikiwemo mikono, miguu, macho na mdomo kutokuwa na umbo lililozoeleka. Hili linaongeza wasiwasi na hofu juu ya usalama wa chanjo anazopewa mjamzito.
Uchunguzi wa kina unahitajika na Taifa kama Taifa tusiwe nchi ya majaribio ya kila chanjo duniani.
 
Mijini ndio wamezidi sana.

Miaka 10 anayosema Musukuma ni mingi sana, miaka 8 tu mtoto saa 8, sijui ni haya mavyakula ukiachana na hoja ya Musukuma.

Vijijini angalau unaweza kukuta mtoto wa zaidi ya miaka 10 bado hana maziwa, ila mjini rare.

Upande wa vitoto vya kiume navyo vinapevuka mapema, miaka 12 katoto tayari..

Enzi zetu ilikuwa kawaida mtoto wa kiume kuvuka 15 akiwa hajapevuka...
Mnawapa watoto kuku wa week tatu kama kitoweo mnategemea nini??Musukuma ni mbumbumbu.
 
Nyakati hizi tunataka vitu vya haraka haraka, mazao yaoteshwe, kukua na kuvunwa haraka, mifugo vivyo hivyo na tunatumia madawa, viini lishe au hormone kufanya hivyo.
Kwa nini tutegemee walaji wasiwe hivyo?
Ukila kuku wa nyama wa kisasa na wewe lazima mwili wako uwe wa nyama za kisasa.
Ndiyo hivyo ilivyo.
 
Wakati akichangia hotuba ya bajeti ya Wizara ya Afya bungeni Dodoma, Dr Msukuma ameshangaa mabinti wa miaka 10 tu kuwa na maziwa yaliyotutumuka kiasi cha kuhitaji kuvaa sidiria.

Amedai utafiti huo ameufanya huko mashuleni na kuwaomba wabunge wengine nao waende wakafanye ili kujiridhisha. Sitaki kuwapotezea muda na maneno mengi, hebu msikilize nyinyi wenyewe.


MAONI YANGU
Namuunga mkono daktari Msukuma kwa asilimia zote. Siku hizi ukikutana na binti wa miaka 10 njiani ukimuangalia kifuani hadi unaogopa na kuona aibu. Na sio mabinti tu, hata wanaume nao wana chuchu kubwa mithiri ya wanawake

Kuna uwezekano mkubwa wazungu wanatuwekea homoni za ushoga kwenye chanjo. Hili suala liangaliwe kwa undani kwani sio mara ya kwanza kusikia ushuhuda huu hapa nchini. Tusibeze wala kudharau kwani mdharau mwiba mguu huota tende. Waziri Ummy Mwalimu tunakuomba uzifanyie utafiti hizi chanjo za bure za wazungu zisije zikatuletea shida hapo baadaye.

Pia soma: Shekhe aipinga vikali chanjo ya malaria mbele ya Waziri wa Afya, kisa ushoga; hamuogopi mtu yeyote!
KWELIIIIKABISAAAA KABISAAAA AISEE WEE JAMAA UNGEFIKA CHUO KHAAAA
 
Namalizia....
Anapata faida gani huyo mzungu mpaka anatumia nguvu kubwa kuweka hayo ma hormon kwenye vyakula au vitu vingine watu wanavyosema...??

Maana kama mnazani kuweka viambatanishi vya kufanya mtu kuwa shoga katika vyakula na etc ni simple hivo ulizeni wataalamu..

Wataalamu wadadavue tujue science iliyopo hapo sio kila siku tunakalili tuu.
 
Back
Top Bottom