Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hayo ni ya kwake.Ina maana wakati Msukuma anafanya utafiti alikuwa anawafunua na kuwavua sidiria watoto hao ili kujiridhisha?
asa nini cha ajabu kwa binti wa miaka kumi kuota matiti yani had sayansi darasa la sita haijatusaidia puberty kwa mtoto wa kike kwa kawaida inaweza kuanza had na umri wa miaka naneMtu huanza kuonekana and akili pale anapoanza kuhoji (question
Kabla ya kumnanga Msukuma, ni vyema kufuatilia mchango wake kwa makini
Mbowe alichanjwa astrazaneca 😂😂Hizo chanjo zenyewe kwani wana uwezo wa kuzikagua? Wanajifaragua tu.
Ushoga unaingia kupitia chanjo? Hii nchi tuna reasoning mbovu sana. Tafiti kafanya kwani yeye ni mtaalamu wa public health?Kuna uwezekano mkubwa wazungu wanatuwekea homoni za ushoga kwenye chanjo.
It's nonsense, kuhoji ni kufanya tafiti sio kutoa assumptions eti ndio akili. Lini ameingia maabara kuprove hilo? Yaani mimi niamke niseme Wanawake kuota ndevu ni dalili ya usagaji basi nakua na akili kisa kuhoji?Mtu huanza kuonekana and akili pale anapoanza kuhoji (questioning).
Kabla ya kumnanga Msukuma, ni vyema kufuatilia mchango wake kwa makini
Kujua hii ni Ndala ni lazima itoke mguuni?!🐼Ina maana wakati Msukuma anafanya utafiti alikuwa anawafunua na kuwavua sidiria watoto hao ili kujiridhisha?
Mpunguze kuagiza bidhaa nje kwa akili zipi mlizonazo za kujitegemea ?Hizo Hormones za USHOGA zinafahamika ua zinaitwaje kwa kisayansi.
Halafu hao watoto wa miaka 7 - 8 wenye maziwa makubwa wako mitaa gani .... maana wengine hajuawaona huko mitaani. AU hizi ni consipirous theories .... maana Watanzania kila kitu kinaleta Ushoga. Colgate zilisambazwa mashuleni tukaambiwa zinaleta ushoga, chakula cha msaada kwa watoto wa shule kule Dodoma nao tukaambiwa ni unaleta ushoga .... sasa basi tupunguze kuagiza bidhaa kutoka nje.
Chanjo aliyochomwa yeye miaka hiyo sio sawa na sasa. Miaka hii kuna chanjo nyingi sana zinapitishwa tuwe makini aisee.Wewe tangu umezaliwa umeshagongwa chanjo nyingi sana. Je, na wewe umeota matiti ? Au chanjo ulizopewa hazikuwa na mbegu za ushoga ?
Na wanakula vyakula vilivyo genetic modified...Sasa sijui watu wanashangaa niniWatoto wanakula kama kuku wa broiler na hawafanyi kazi wala mazoezi. Kwa namna hiyo lazima adi wakiume waote matiti.
Hamna labda vinaonekana vina 10 wakati vina 13Kwenye hilo Musukuma yuko sasa wala siyo porojo kuwa watoto wa miaka 10 kuota matiti.
Genetic modwhat?Na wanakula vyakula vilivyo genetic modified...Sasa sijui watu wanashangaa nini