johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Mabadiliko ya Tabia nchi 🐼Mijini ndio wamezidi sana.
Miaka 10 anayosema Musukuma ni mingi sana, miaka 8 tu mtoto saa 8, sijui ni haya mavyakula ukiachana na hoja ya Musukuma.
Vijijini angalau unaweza kukuta mtoto wa zaidi ya miaka 10 bado hana maziwa, ila mjini rare.
Upande wa vitoto vya kiume navyo vinapevuka mapema, miaka 12 katoto tayari..
Enzi zetu ilikuwa kawaida mtoto wa kiume kuvuka 15 akiwa hajapevuka...
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Mabadiliko ya Tabia nchi [emoji209]
Wakati akichangia hotuba ya bajeti ya Wizara ya Afya bungeni Dodoma, Dr Msukuma ameshangaa mabinti wa miaka 10 tu kuwa na maziwa yaliyotutumuka kiasi cha kuhitaji kuvaa sidiria. Amedai utafiti huo ameufanya huko mashuleni na kuwaomba wabunge wengine nao waende wakafanye ili kujiridhisha. Sitaki kuwapotezea muda na maneno mengi, hebu msikilize nyinyi wenyewe.
View attachment 2989832
MAONI YANGU
Namuunga mkono daktari Msukuma kwa asilimia zote. Siku hizi ukikutana na binti wa miaka 10 njiani ukimuangalia kifuani hadi unaogopa na kuona aibu. Na sio mabinti tu, hata wanaume nao wana chuchu kubwa mithiri ya wanawake
Kuna uwezekano mkubwa wazungu wanatuwekea homoni za ushoga kwenye chanjo. Hili suala liangaliwe kwa undani kwani sio mara ya kwanza kusikia ushuhuda huu hapa nchini. Tusibeze wala kudharau kwani mdharau mwiba mguu huota tende. Waziri Ummy Mwalimu tunakuomba uzifanyie utafiti hizi chanjo za bure za wazungu zisije zikatuletea shida hapo baadaye.
Pia soma: Shekhe aipinga vikali chanjo ya malaria mbele ya Waziri wa Afya, kisa ushoga; hamuogopi mtu yeyote!
Kulalama sana ni dalili ya Zero IQ.Ila wazungu wanapata shida aisee!! Maana matatizo yetu waafrica tunawatupia lawama wao
Kumbe Binti kuvaa sidiria ni ushoga!Mbunge wa Jimbo la Geita Vijijini Josep Msukuma ameyasema hayo wakati akichangia bajeti ya Wizara ya Afya iliyowasilishwa jana Bungeni Dodoma.
Nyakati hizi tunataka vitu vya haraka haraka, mazao yaoteshwe, kukua na kuvunwa haraka, mifugo vivyo hivyo na tunatumia madawa, viini lishe au hormone kufanya hivyo.Mijini ndio wamezidi sana.
Miaka 10 anayosema Musukuma ni mingi sana, miaka 8 tu mtoto saa 8, sijui ni haya mavyakula ukiachana na hoja ya Musukuma.
Vijijini angalau unaweza kukuta mtoto wa zaidi ya miaka 10 bado hana maziwa, ila mjini rare.
Upande wa vitoto vya kiume navyo vinapevuka mapema, miaka 12 katoto tayari..
Enzi zetu ilikuwa kawaida mtoto wa kiume kuvuka 15 akiwa hajapevuka...
Kula ovyo kunaongeza ukubwa wa maziwa mkuu?
Umeongea ukweli 100% mkuuhuyu nae mtu mzima ovyo how unafocus na mazowa ya watoto ayo ni maumbile tu mbona hao hao wa miak 10 wengne ad 13 hawna manyonyo changamoto ni kuzdsha aina flan ya vyakula vya antficial km chips mayai mayai ya kisas burger piza bt chanjo kila mtu kapgw sana tu paka tunakua kama iv ila wapo wana maziwa madog tu..moe naona kiwango cha kufkir cha mueshimiwa manak ni darasa la7..alobeba majkum makubwa ya kutunga sheria ya nchi knyume na uwez wa elim yake nafkr shelia zpitiwe upya daras la7 uwez changia vya mana ndio wananch wke wamemtuma awasemee shida iyo jmbon kwake shame aache kunyanyapaa watt hat wao awapend mionekano yao ukchnguz utaon wadg wnye maziw makubw wanakua awap confotable km kufcha kfua au kurudsha nyuma kfua wakitembea kaul yke ni pgo kwao pia
Wazungu wanasingiziwa mengi sana.Mnashindwa kujali Afya mnasingizia wazungu .
Mnakula bila mpangilio ,hamjali Afya zenu mkiota vitambi ,matiti mwili kuumuka lawama kwa wazungu.
Ndio, kula na kunywa hovyo bila kufanya kazi ngumu au mazoezi hata mwanaume anaota maziwa.Kula ovyo kunaongeza ukubwa wa maziwa mkuu?
AiseWazungu wameweka chanjo kwenye ubongo wake ndio maana anaropoka.
Naunga mkono unachoongea huyo Msukuma alionaje hizi sidiria hivyo vitoto vinavaa wakati ni vazi la ndani ya nguo alivivua akaona hizo sidiria? Waziri amuhoji huyo Msukuma alijuaje kuwa vinavaa sidiria? Sababu Anasema ninwengi wanavaa Ina maana aliwafunua kuzionaKwahio msukuma anatuchungulia tu toto twa miaka kumi 😂😂
Mbunge wa Jimbo la Geita Vijijini Josep Msukuma ameyasema hayo wakati akichangia bajeti ya Wizara ya Afya iliyowasilishwa jana Bungeni Dodoma jana tar 13/5/2024.