Huyu mzee vip? Kwani huko walikohamia hakuna vijana? Wapambane....na hilo liwe funzo la kupenda hela za muda mfupi kwa hawa vijana
Ndugai kamwigiza kingi kijana wa watu...very sad!!
Ndugai kamwigiza kingi kijana wa watu...very sad!!
Mkuu, ninauhakika wa Kula na kuendelea kuihudumui familia yangu kikamilifu bila kuyumba miaka zaidi ya kumi hata nispofanya kazi, ellewa Sana mkuuKwahiyo kazi ya kufagia pale lumumba utamuachia nani? Au utamwachia kipara kipya na mwenzake Wakudadavua?
Mkuu, ninauhakika wa Kula na kuendelea kuihudumui familia yangu kikamilifu bila kuyumba miaka zaidi ya kumi hata nispofanya kazi, ellewa Sana mkuu
Jambo lingine unalopaswa kulishika, ni unapaswa kuheshimu kazi za watu mkuu, hata mtu akifagia Lumumba au mwokota makopo Kwa sababu haumlishi
Nafagiaga Ufipa pale mkuu, furahi sasa!!😂Kama unalijua hilo inakuwaje unaikwepa hiyo kazi yako? Mbona mwenzako kipara kipya haoni aibu kufanya hiyo kazi?
Kaahaba wa kisiasa akitumia nguvu kubwa kuwatetea maalaaya wa kisiasa...Mbunge wa Rombo aliyemaliza muda wake Joseph Selasini, ameviomba vyama vyote nchini kuhakikisha vinawapokea vijana wote waliohama vyao vyao na kuhamia vyama vingine lakini wakashindwa kwenye kura za maoni kwa kuwa walishaonesha wanao uwezo wa kufanya kazi.
Selasini ametoa kauli hiyo hii leo Agosti 7, 2020, Jijini Dar es Salaam, wakati akizungumza kwenye mkutano Mkuu wa chama cha NCCR-Mageuzi na kuongeza kuwa vijana hao wanapashwa kuwapokea na kisha kuwalea na kuwarekebisha kwenye makosa yao na kuwapa nafasi za uongozi.
"Naviomba vyama vyote, chama changu cha NCCR-Mageuzi, CCM, CHADEMA tusiwatupe vijana, hata vijana ambao walihama kutoka CHADEMA kwenda CCM wakaenda kushindwa kwenye kura za maoni, tunajua vijana wanavyotangatanga hata katika kutafuta uchumba, wanatafuta fursa fungueni milango hao vijana warudi waweze, kufanya kazi ya Watanzania" amesema Selasini.
CC: Lijualikali.
anza kujiandaa hivi sasa usitendwe na wajumbe muda ukifika.2025 nitatia Nia Nami, naona kwenye siasa kunalipa sana
Mkuu, wajumbe anawaweza mh Lisu tu, wale usithubutu kuwaita wajumbe watakupiga supana mapemaa!!! hiyo ndio dawa Yao!😂anza kujiandaa hivi sasa usitendwe na wajumbe muda ukifika.
hahahaah kumbe ushajua namna ya kuishi naoMkuu, wajumbe anawaweza mh Lisu tu, wale usithubutu kuwaita wajumbe watakupiga supana mapemaa!!! hiyo ndio dawa Yao!😂
Nafagiaga Ufipa pale mkuu, furahi sasa!![emoji23]
Kaahaba wa kisiasa akitumia nguvu kubwa kuwatetea maalaaya wa kisiasa...
Je tukengeuke wosia wa Mwalimu wa "kuwaogopa wanasiasa wenye tabia za kimalayamalaya...!!"?
Je ni nani baina yetu awezae kukumbatia nungunungu huku akitabasamu?
Waliingizwa kingi na jiwe hawakujua ni msanii,wanalaani kishenzi kawauza,Kina Lijualikali wanajuta na kulia na hakuna wa kuwapa pole maana wanacho kipata ndiyo malipo yao
Zimenunuliwa gari mpya za kampeni nadhani lijuabaridi atazimia tena akiziona,aliacha kura 75000 CDM akafata kura 7 ccmHakuna mtu wa kuwakaribisha hao wafuata harufu ya centi
Zimenunuliwa gari mpya za kampeni nadhani lijuabaridi atazimia tena akiziona,aliacha kura 75000 CDM akafata kura 7 ccm
Waliingizwa kingi na jiwe hawakujua ni msanii,wanalaani kishenzi kawauza,
Ataumia zaidi kuona mbunge wake ajae ni CDM,Lazima ataishia kuponda tu