Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Afisa kipenyo anatakiwa asaidie nchi na wala siyo chama fulani au kiongozi fulani.Mbatia ni afisa kipenyo wa mda mrefu sana
Jamaa anawaza CCM yake , huku anaivuruga NCCR- Mageuzi. Hatari ya kutumika.Joseph Selasini: Tangu ulipofanyika mkutano wa Halmashauri Kuu ya CCM, maneno mengi yamesemwa kwamba kilikuwa na mapinduzi, naomba niseme kwamba hapakuwa na mapinduzi bali kulikuwa na kikao halali cha Halmshauri Kuu kilichotimiza akidi"
Elimu yako ndogo sana huwezi kuelewa mambo mengineAfisa kipenyo anatakiwa asaidie nchi na wala siyo chama fulani au kiongozi fulani.
Maana ya afisa kipenyo wa kweli ni yule atakayelinda katiba na sera za nchi kwa manufaa ya sasa na baadaye.
Ukimuona mchagga mahala ujue kuna hela!!!Wazaramo hamkeni, wachaga wanajua kula na maccm
Mtapakatwa nyie wachaga kwa kupenda hela kwenu!!!Acha shobo mtoto wa kiume utapakatwa
Mbona viingozi wa upinzani na wachagga tu nchi hii kasoro zitto na rungwe
Yawezekana wewe hujui tofauti kati ya elimu na uwezo wa kuelewa, tunarudi kule kule kwenye umasikini wa fikra.Elimu yako ndogo sana huwezi kuelewa mambo mengine
UmeniwahiHuyu mzee hizo ndevu na nywele ni kwamba anapaka rangi au ndio kazaliwa hivyo?