johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Watu wanapodai vyama vya Upinzani bill kibiashara zaidi huwa wako sahihi.
Hebu fikiria wabunge wa Chadema walivyohamia kwa kasi CCM. Wakati wa Dr Bashiru ni lazima mwenyekiti wa Chadema alihusika.
Hata hawa akina Halima Mdee na wenzake inawezekana kabisa Ilikuwa ni business
Hongera sana Baba Paroko kea kuweka ukweli mchungu hadharani.
Hebu fikiria wabunge wa Chadema walivyohamia kwa kasi CCM. Wakati wa Dr Bashiru ni lazima mwenyekiti wa Chadema alihusika.
Hata hawa akina Halima Mdee na wenzake inawezekana kabisa Ilikuwa ni business
Hongera sana Baba Paroko kea kuweka ukweli mchungu hadharani.