Ukisema bila kuchomeka wachaga utapungukiwa nini wewe perverted hater?
We ara calling out their bluff!!! Wasifikiri hatujagundua janja yao!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukisema bila kuchomeka wachaga utapungukiwa nini wewe perverted hater?
Ndio maana anasiasa za kimalamalaya,mtu mzima unapaka rangi nywele ili iwejeMuhuni tu,wala hajazaliwa hivyo anajifanya DEFAO ili ale Mbususu kimasihara.
Mbatia ni mchumia tumbo tu. Hana uafisa wowote. Uchaguzi wa mwaka 2020 walipoitwa na Magufuli, waliahidiwa vyeo na fedha za kusaidia kampeni zao na wao wapewe baadhi ya nafasi za ubunge na kuwa chama cha upinzani kitiifu kwa mwendazake. Hali ilikuja kubadilika baada ya Chadema kumsimamisha Lissu na kuvutia umati mkubwa wa watu. Magufuli alipoona hali ni mbaya kwake akaamua kutumia dola kupora uchaguzi na akawatupilia mbali hawa wachumia tumbo kwani aliona hawana uwezo wa kupambana na Chadema.
Kuna binadamu anazaliwa na ndevu ndugu Farolito !!???Huyu mzee hizo ndevu na nywele ni kwamba anapaka rangi au ndio kazaliwa hivyo?
Lissu alivutia umati upi wa watu!!? Unajitekenya na kucheka.Mbatia ni mchumia tumbo tu. Hana uafisa wowote. Uchaguzi wa mwaka 2020 walipoitwa na Magufuli, waliahidiwa vyeo na fedha za kusaidia kampeni zao na wao wapewe baadhi ya nafasi za ubunge na kuwa chama cha upinzani kitiifu kwa mwendazake. Hali ilikuja kubadilika baada ya Chadema kumsimamisha Lissu na kuvutia umati mkubwa wa watu. Magufuli alipoona hali ni mbaya kwake akaamua kutumia dola kupora uchaguzi na akawatupilia mbali hawa wachumia tumbo kwani aliona hawana uwezo wa kupambana na Chadema.
Hiihii CHADEMA inayotumiwa na Samia atakavyo, au kuna nyingine?Tukisema kwamba upinzani ni Chadema peke yake nchi hii muwe munaelewa,Watu wanakokotwa kwenda kuisaidia CCM halafu mnategemea wawasemee
Shauri zenu mnaomwamini Joseph Selasini. Huyu ni msaliti kuanzia kwenye familia yao (hawakuelewana na kaka yake marehemu Masumbuko Lamwai hadi anakufa, baada ya mtafaruku wa NNCR wa kipindi cha Marando).View attachment 2239563
Picha: Joseph Selasini
Joseph Selasini: Kuna barua inaonekana kusambaa katika mitandao ya kijamii ikidaiwa kusaini wa na katiba kata wa Makiidi nyumbani kwetu, ikinihusisha mimi na uanachama wa CHADEMA. Niliondoka CHADEMA mwezi Juni 2020, na tangu nilipoondoka CHADEMA sikurejea tena"
Joseph Selasini: Mimi ni mwanachama wa NCCR, barua inayoendelea hivi sasa mitandaoni, imewekwa na watu wenye nia ovu, kama ningeomba kurejea CHADEMA na ningeandika barua, basi ingewekwa barua ya mimi kuomba kurejea CHADEMA na si barua ile"
Joseph Selasini: Sheria ya vyama vya siasa inaitaka kila chama Kuwasilisha kwa msajili wa vyama vya siasa nchini majina ya wanachama wote ambao ni wajumbe wa Kamati Kuu, Halmashauri Kuu, Baraza Kuu na Kamati kuu, hivyo wanaotaka kuthibitisha uanachama wangu, wakatafute hapo"
Joseph Selasini: Tangu ulipofanyika mkutano wa Halmashauri Kuu ya CCM, maneno mengi yamesemwa kwamba kilikuwa na mapinduzi, naomba niseme kwamba hapakuwa na mapinduzi bali kulikuwa na kikao halali cha Halmshauri Kuu kilichotimiza akidi"
Joseph Selasini: Maneno ya kwamba Joseph Selasini amempindua Mbatia ni maneno ya kejeli, uchochezi, uzushi na uongo. Ni maneno yanayojaribu kujenga dhana ya kwamba, wenyeviti wa vyama vya siasa ni wakubwa kuliko katiba ya vyama vyao na hawawezi kujadiliwa"
Joseph Selasini: Halmashauri Kuu ya NCCR Mageuzi na ya chama chochote cha siasa, haina mamlaka ya kikatiba ya kumfukuza Mwenyekiti wa chama, mamlaka ya Halmshauri Kuu ni kumsimamisha mwenyekiti, ni kama mfanyakazi anaposimamishwa kupisha uchunguzi"
Joseph Selasini: Sidhani kama Mwenyekiti aliyeongoza chama kwa miaka 23 anaweza kuogopa mkutano mkuu, au afanye vikao nje ya ya katiba ha utaratibu ili ajenge hofu ili watu wakuunge mkono"
Joseph Selasini: Moja ya jambo ambalo Mwenyekiti wetu (James Mbatia) ambalo anatuhumiwa nalo kwa muda mrefu ni uhusiano wake na Chama cha Mapinduzi (CCM), hata baadhi ya vyama vingine vya siasa vimekuwa vikisema kuwa hatumwelewi Mbatia ana uhusiano gani na CCM"
Joseph Selasini: Mimi na Anthony Komu tuliporudi NCCR Mageuzi mwaka 2020 Mbatia alitupeleka hadi kwa Dkt.Bashiru Ally kwa lengo la kufanya makubaliano ya kuisaidia CCM kwenye uchaguzi,tulipotoka kwenye kikao hicho tulikubaliana mimi na Komu kutoshiriki uharamu huo".
View attachment 2239578
Barua inayodaiwa kuwa ya CHADEMA inayomtaja Selasini kuwa aliomba kadi yao
Chanzo: Dar Mpya Blog
Unataka akuonyeshe umati live ??Lissu alivutia umati upi wa watu!!? Unajitekenya na kucheka.
Nimekuelewa kwa tabu sana, tatizo langu ni kitu gani kilisababisha ushindwe kuueleza Umma mambo hayo tokea mwaka 2020 hadi Sasa. Je, visambusa na chai za asali ndivyo tu mlivyoambulia au kuna vingine ?View attachment 2239563
Picha: Joseph Selasini
Joseph Selasini: Kuna barua inaonekana kusambaa katika mitandao ya kijamii ikidaiwa kusaini wa na katiba kata wa Makiidi nyumbani kwetu, ikinihusisha mimi na uanachama wa CHADEMA. Niliondoka CHADEMA mwezi Juni 2020, na tangu nilipoondoka CHADEMA sikurejea tena"
Joseph Selasini: Mimi ni mwanachama wa NCCR, barua inayoendelea hivi sasa mitandaoni, imewekwa na watu wenye nia ovu, kama ningeomba kurejea CHADEMA na ningeandika barua, basi ingewekwa barua ya mimi kuomba kurejea CHADEMA na si barua ile"
Joseph Selasini: Sheria ya vyama vya siasa inaitaka kila chama Kuwasilisha kwa msajili wa vyama vya siasa nchini majina ya wanachama wote ambao ni wajumbe wa Kamati Kuu, Halmashauri Kuu, Baraza Kuu na Kamati kuu, hivyo wanaotaka kuthibitisha uanachama wangu, wakatafute hapo"
Joseph Selasini: Tangu ulipofanyika mkutano wa Halmashauri Kuu ya CCM, maneno mengi yamesemwa kwamba kilikuwa na mapinduzi, naomba niseme kwamba hapakuwa na mapinduzi bali kulikuwa na kikao halali cha Halmshauri Kuu kilichotimiza akidi"
Joseph Selasini: Maneno ya kwamba Joseph Selasini amempindua Mbatia ni maneno ya kejeli, uchochezi, uzushi na uongo. Ni maneno yanayojaribu kujenga dhana ya kwamba, wenyeviti wa vyama vya siasa ni wakubwa kuliko katiba ya vyama vyao na hawawezi kujadiliwa"
Joseph Selasini: Halmashauri Kuu ya NCCR Mageuzi na ya chama chochote cha siasa, haina mamlaka ya kikatiba ya kumfukuza Mwenyekiti wa chama, mamlaka ya Halmshauri Kuu ni kumsimamisha mwenyekiti, ni kama mfanyakazi anaposimamishwa kupisha uchunguzi"
Joseph Selasini: Sidhani kama Mwenyekiti aliyeongoza chama kwa miaka 23 anaweza kuogopa mkutano mkuu, au afanye vikao nje ya ya katiba ha utaratibu ili ajenge hofu ili watu wakuunge mkono"
Joseph Selasini: Moja ya jambo ambalo Mwenyekiti wetu (James Mbatia) ambalo anatuhumiwa nalo kwa muda mrefu ni uhusiano wake na Chama cha Mapinduzi (CCM), hata baadhi ya vyama vingine vya siasa vimekuwa vikisema kuwa hatumwelewi Mbatia ana uhusiano gani na CCM"
Joseph Selasini: Mimi na Anthony Komu tuliporudi NCCR Mageuzi mwaka 2020 Mbatia alitupeleka hadi kwa Dkt.Bashiru Ally kwa lengo la kufanya makubaliano ya kuisaidia CCM kwenye uchaguzi,tulipotoka kwenye kikao hicho tulikubaliana mimi na Komu kutoshiriki uharamu huo".
View attachment 2239578
Barua inayodaiwa kuwa ya CHADEMA inayomtaja Selasini kuwa aliomba kadi yao
Chanzo: Dar Mpya Blog
Tukisema kwamba upinzani ni Chadema peke yake nchi hii muwe munaelewa,Watu wanakokotwa kwenda kuisaidia CCM halafu mnategemea wawasemee
Acha ukabila wewe, kwanini mnakua na hasira na wachagga kiasi hiki? Kwani wao sio waTanzania? Mtu kapigiwa kura na mikoa yote kwani hawakujua ni Mchagga?Mbona viingozi wa upinzani na wachagga tu nchi hii kasoro zitto na rungwe
Lissu alivutia umati upi wa watu!!? Unajitekenya na kucheka.