Ujio wake Chadema hautakuwa na impact kubwa kama watu wanavyoaminishwa
Ni mchumia tumbo kama wengine tuf
Ni kweli lakin angalau atakuwa huruUjio wake Chadema hautakuwa na impact kubwa kama watu wanavyoaminishwa
Ni mchumia tumbo kama wengine tu
Ni kweli lakin angalau atakuwa huru
Naunga mkono ila aje akijua nafasi ya yeye kugombea Urais kupitia chadema haipo
Poleni na hongereni na kutafuta mkate wa kila siku! Leo roho wa Mungu amenisukuma niseme na mtumishi wa Mungu Akofu jophate Gwajima.
Upo ccm huna amani, huna furaha, huna uhuru wa kusema uovu unafanywa na na viongozi wa ccm ni kwa sababu upo CCM.
Na wewe ni msema kweli, kiasili ww hauwezi kukaa meza moja na ccm mkaishi mda mrefu. Tafakari vizuri ujiunge chadema ili uwe huru rohoni, nafsini, na akilini.
Pia soma: Pre GE2025 - Orodha ya CV za Wabunge kwa mwaka 2020 - 2025 kutoka kila mkoa Tanzania
Hatimaye tuijenge nchi yetu pendwa. Najua unayo mengi sana kifuani mwako, juu ya viongozi HAWA wa CCM wanvyotafuna fedha za wananchi. Ila unakosa ujasili wa kusema kwa sbb na ww ni mbunge kupitia ccm, ikikupendeza, bunge likivunjwa nenda chadema. Huduma yako, ushawishi wako, karama yako imeshuka sana tangu ujiunge na ccm na kuwa mbunge.
NB: Au achana na siasa, uwatumikie wananchi kupitia huduma ya kiroho uendelee kusema ukweli.
Mungu ibariki Tanzania by mwinjilist wenu Gabeji.
Duuuh huyu tapeli aliyedanganya watu wa kawe angewapeleka marekan amenunua ndege yake amenunua tren yake kutoka Japan
Alimuibia mdee kura na picha na video zilienea mitandaoni
Abaki huko huko chadema hatumtaki
Mzee mnatakiwa sana
Kabisa mkuu, hiyo haipo kabisaNaunga mkono ila aje akijua nafasi ya yeye kugombea Urais kupitia chadema haipo
Pandikiziabaki2 ccm hana lolote huyo kexhakuwa chawa wa serikali ya ccm
Chadema itamkubali huyu aliyesema atawapeleka wananchi wa Kawe ziara Birmingham Uingereza na mpaka leo hata mbuga za Serengeti tu hapa hapa Tanzania hajathubutu kuwapeleka ?
Poleni na hongereni na kutafuta mkate wa kila siku! Leo roho wa Mungu amenisukuma niseme na mtumishi wa Mungu Akofu jophate Gwajima.
Upo ccm huna amani, huna furaha, huna uhuru wa kusema uovu unafanywa na na viongozi wa ccm ni kwa sababu upo CCM.
Na wewe ni msema kweli, kiasili ww hauwezi kukaa meza moja na ccm mkaishi mda mrefu. Tafakari vizuri ujiunge chadema ili uwe huru rohoni, nafsini, na akilini.
Pia soma: Pre GE2025 - Orodha ya CV za Wabunge kwa mwaka 2020 - 2025 kutoka kila mkoa Tanzania
Hatimaye tuijenge nchi yetu pendwa. Najua unayo mengi sana kifuani mwako, juu ya viongozi HAWA wa CCM wanvyotafuna fedha za wananchi. Ila unakosa ujasili wa kusema kwa sbb na ww ni mbunge kupitia ccm, ikikupendeza, bunge likivunjwa nenda chadema. Huduma yako, ushawishi wako, karama yako imeshuka sana tangu ujiunge na ccm na kuwa mbunge.
NB: Au achana na siasa, uwatumikie wananchi kupitia huduma ya kiroho uendelee kusema ukweli.
Mungu ibariki Tanzania by mwinjilist wenu Gabeji.
Hivi ile Helkopta yake bado anayo??Ni mtu mkubwa sana
Simkumbuki jina yeye ni Mwalimu nilionyeshwa video yake kwenye simu ya mtu najua wadau wanao tuombe waweke hapaNi nani huyooo Naniii
Ili tuupime unabii wake
Sura Yake unaikumbukaSimkumbuki jina yeye ni Mwalimu nilionyeshwa video yake kwenye simu ya mtu najua wadau wanao tuombe waweke hapa
Unakumbuka ile clip yake ya ngono ambayo watu wanadai ni kazi ya Makonda? Huenda kuna nyingine mbaya zaidi wamezitunza wanasubiri siku akifanya fujo ya kuwasema CCM.Sio mwoga mkuu, ni kwa vile yupo huko ccm, nafsi inamsuta
1. Mpinzani akishinda kiti cha urais Tz aweza kutangazwa??Kuna nabii Fulani anasema huyo ndio Presideñt ajaye ila lazima apitie CDM,anasema isipotokea basi Mungu hakumwita katika utumishi