Pre GE2025 Josephat Gwajima karibu CHADEMA tuijenge nchi

Pre GE2025 Josephat Gwajima karibu CHADEMA tuijenge nchi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Poleni na hongereni na kutafuta mkate wa kila siku! Leo roho wa Mungu amenisukuma niseme na mtumishi wa Mungu Akofu jophate Gwajima.

Upo ccm huna amani, huna furaha, huna uhuru wa kusema uovu unafanywa na na viongozi wa ccm ni kwa sababu upo CCM.

Na wewe ni msema kweli, kiasili ww hauwezi kukaa meza moja na ccm mkaishi mda mrefu. Tafakari vizuri ujiunge chadema ili uwe huru rohoni, nafsini, na akilini.

Pia soma: Pre GE2025 - Orodha ya CV za Wabunge kwa mwaka 2020 - 2025 kutoka kila mkoa Tanzania

Hatimaye tuijenge nchi yetu pendwa. Najua unayo mengi sana kifuani mwako, juu ya viongozi HAWA wa CCM wanvyotafuna fedha za wananchi. Ila unakosa ujasili wa kusema kwa sbb na ww ni mbunge kupitia ccm, ikikupendeza, bunge likivunjwa nenda chadema. Huduma yako, ushawishi wako, karama yako imeshuka sana tangu ujiunge na ccm na kuwa mbunge.

NB: Au achana na siasa, uwatumikie wananchi kupitia huduma ya kiroho uendelee kusema ukweli.

Mungu ibariki Tanzania by mwinjilist wenu Gabeji.
Naunga mkono ila aje akijua nafasi ya yeye kugombea Urais kupitia chadema haipo
 
Ni kweli kabisa!
Huwezi kupambana na Shetani ukiwa kwenye Ngome yake!
 
 
Duuuh huyu tapeli aliyedanganya watu wa kawe angewapeleka marekan amenunua ndege yake amenunua tren yake kutoka Japan

Alimuibia mdee kura na picha na video zilienea mitandaoni
Abaki huko huko chadema hatumtaki
Mzee mnatakiwa sana

Naunga mkono ila aje akijua nafasi ya yeye kugombea Urais kupitia chadema haipo
Kabisa mkuu, hiyo haipo kabisa
 
Hahhaha kweli technology ni hatari sana
 

Poleni na hongereni na kutafuta mkate wa kila siku! Leo roho wa Mungu amenisukuma niseme na mtumishi wa Mungu Akofu jophate Gwajima.

Upo ccm huna amani, huna furaha, huna uhuru wa kusema uovu unafanywa na na viongozi wa ccm ni kwa sababu upo CCM.

Na wewe ni msema kweli, kiasili ww hauwezi kukaa meza moja na ccm mkaishi mda mrefu. Tafakari vizuri ujiunge chadema ili uwe huru rohoni, nafsini, na akilini.

Pia soma: Pre GE2025 - Orodha ya CV za Wabunge kwa mwaka 2020 - 2025 kutoka kila mkoa Tanzania

Hatimaye tuijenge nchi yetu pendwa. Najua unayo mengi sana kifuani mwako, juu ya viongozi HAWA wa CCM wanvyotafuna fedha za wananchi. Ila unakosa ujasili wa kusema kwa sbb na ww ni mbunge kupitia ccm, ikikupendeza, bunge likivunjwa nenda chadema. Huduma yako, ushawishi wako, karama yako imeshuka sana tangu ujiunge na ccm na kuwa mbunge.

NB: Au achana na siasa, uwatumikie wananchi kupitia huduma ya kiroho uendelee kusema ukweli.

Mungu ibariki Tanzania by mwinjilist wenu Gabeji.
Chadema itamkubali huyu aliyesema atawapeleka wananchi wa Kawe ziara Birmingham Uingereza na mpaka leo hata mbuga za Serengeti tu hapa hapa Tanzania hajathubutu kuwapeleka ?
 
Sio mwoga mkuu, ni kwa vile yupo huko ccm, nafsi inamsuta
Unakumbuka ile clip yake ya ngono ambayo watu wanadai ni kazi ya Makonda? Huenda kuna nyingine mbaya zaidi wamezitunza wanasubiri siku akifanya fujo ya kuwasema CCM.
 
Kuna nabii Fulani anasema huyo ndio Presideñt ajaye ila lazima apitie CDM,anasema isipotokea basi Mungu hakumwita katika utumishi
1. Mpinzani akishinda kiti cha urais Tz aweza kutangazwa??

2. Je kwa Tz imewahi kutokea kuwa na rais ambaye hajapitia nafasi ya waziri ktk wizara zetu?
3. Tz kwenye nafasi ya urais huwa ni Bakwata na Tec, Gwajima ni Mpotestanti je Tec na Bakwata watakubali?
 
Back
Top Bottom