Joseverest is Back!! (Hatimaye nimerudi tena)

Mkuu karibu tena pia wasamehe wote waliokuzushia yasiyo ya ukweli wowote
Waombee tu Mungu awasamehe na kuwapa maisha marefu wazidi kukuona kwenye Nafasi yako pendwa.
 
Dah juzi nilikua na mzee .wanakijiji mshana na eiyer na wakuu wwngine kibao tulikua tunapanga hitima yako maana kulikua hakuna namna na haya mambo ya siku iz mara kibiti mara saa tisa ni mtihan tutaanza kurudisha rambirambi tulizopokea

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndio hivyo aisee, ila utata nimeutoa kwa hiyo ondoeni hofu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…