Joseverest is Back!! (Hatimaye nimerudi tena)

Kwani kuna Wanausalama wengine nchini Tanzania ukiondoa hao tu wenye Kituo chao cha ' Daladala ' hapo pande za ' Migomigo ' Mkuu?
Mmmh hayo mambo yao siyafahamu kwa kina kiongozi huwa nasikiasikia tu
 
Sasa mkuu wewe ndio uko kwenye notification center ya Account yangu ya JF?? Jibu ni hapana... Taarifa ni nyingi mno zimezushwa sikatai ila nimefanya kuzifupisha tu ieleweke nisiwachoshe watu kwa thread ndeefu... Speed yangu ya kusoma naijua mwenyewe kwa hiyo usihofu.....hiyohiyo jana nilizisoma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…