Joseverest
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 52,812
- 71,392
- Thread starter
-
- #341
Hapana ndugu sina uhusiano wowote na marehemu JohanesKaribu tena, kwani una uhusiano wowote na huyo Johanes aliefariki ubungo? Maana hara mimi niliamini uneshaRIP
Fresh mkuuWelcome back katika ubora wako
Ndio binadamu hao mkuu inabidi tuwazoeeComrade......
Hii dunia ina mambo mengi sana aiseee.....
Naona kuna vijana wanazidi kumsakama Joseverest pamoja na kwamba amejitahidi kujieleza kwamba alikua katika mizunguko yake ya kawaida kwenye kutafuta ugali
Pamoja na kujieleza alipo rejea.....
Na hata angerejea kimyakimya, bado mngesema.
Wanadam bwana......[emoji34] [emoji34] [emoji34]
Basi sawa Comrade......Hana maaana hiyo comrade
Mmmmh aisee, unasema kweli? watu kwa kuiba avatar hawajamboKaribu sana, ila bahati mbaya avatar yako inatumika na mtu ambaye hana busara, mpuuzi Fulani humu JF mwenye ID mia moja kidogo, kwa sasa amefungua ID mpya yenye avatar kama yako anajiita CURICULLUM lakini ndio yule yule HR 666, YEEZUS, YEEZUS 2, Jordi pola.
poa poa Mama SabrinaSawa karibu tena wazoee jf
Asante kiongozi nimerudiHaya, karibu jamvini tena. !!!!!
Niliwaeleza kwamba uliaga utarudi.
poaBasi sawa Comrade......
Hahaha hapana, hiyo ni avatar tuEti watu wanasema wewe unafanana na avatar yako mkuu
AiseeOky nafurahi kukuona tena humuuu mi nilipokukosa nikawa naona uvivu hata kuingia humu.....
Umerudi hope tutakuwa pamoja
Mapovu ya nini..inakuuma niniHizi pumba tu