Joseverest is Back!! (Hatimaye nimerudi tena)

Naona umerudi tena baada ya kupotea humu jukwaani kwa mara ya pili.
Yaani wewe sikuwezi aisee watu wakazusha upo kwenye mtihani wa taifa wa darasa la saba
watu wana maneno mengi aisee..mengi yasiyo na ukweli hahaha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…