Joseverest is Back!! (Hatimaye nimerudi tena)

Woyooooo...piga keleeeeeeee[emoji108][emoji108][emoji108][emoji108]

sent from my iPhone 7s using JamiiForum mobile app.
 
Pole sana mkuu nami nimepoa pia, Hata mimi sina sababu ya kuwauliza kwa nini wamenizushia kifo, nawasamehe kiroho safi na maisha mengine yaendelee.. Ndio binadamu tulivyo
 
Swali langu moja tu kwako Jose,

Dar umepaonaje mkuu?[emoji23] [emoji23] [emoji23]

Maana hiyo tarehe moja ndio ilikuwa siku yako ya kuwasili dar na kwa bahati mbaya zaidi ukapotea mazima humu jukwani.[emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4]
 
Hahaha ina maana Comrade huamini kama nimerudi [emoji56][emoji56][emoji56]???
Kwanza nikupe pole na hongera kwa mihangaiko ya kutafuta ugali wa kila siku.
Na moja ya mada zilizo niletea ubishani mkubwa hadi kwa shemeji zako (anae julikana na 2 wasio julikana), ni hasa hii habari iliovuma kwamba wewe ndie yule kijana aliefariki kwa ajali ya pikipiki.
Nimefurahia ujio wako comrade.
Hii mada na I'D yako, ileta sinto faham hapa jamvini na kupelekea threads kadhaa kuanzishwa.
Karibu tena Amigo.....[emoji144]
 
Swali langu moja tu kwako Jose,

Dar umepaonaje mkuu?[emoji23] [emoji23] [emoji23]

Maana hiyo tarehe moja ndio ilikuwa siku yako ya kuwasili dar na kwa bahati mbaya zaidi ukapotea mazima humu jukwani.[emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4]
Dar kuzuri mkuu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Nashukuru sana amigo aisee, nimeona huo uzi watu wanasema ni mimi, sio kweli wamenizushia.. Mungu amlaze mahala pema ndugu Johanes
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…