Joseverest is Back!! (Hatimaye nimerudi tena)

Joseverest is Back!! (Hatimaye nimerudi tena)

Poa Mkuu wengi watafurahi kukuona tena, wengine walikuwa na wasi wasi kwamba wamekuroma 🙂🙂

Mkuu ni hapahapa Tanzania nipo kuhangaika na maisha, leo huku kesho kule ila nashukuru Mungu mambo yanaenda...... Daah aisee, hao watu nimewaona mpaka wengine wakadhani ni mimi nina double IDentity labda kumbe sio..
 
Jamaa alikuwahi kwa sekunde 60 tu!
Ningekuwa Mod ningemzawadia BAN...
magereza.jpg
 
Back
Top Bottom