Joseverest is Back!! (Hatimaye nimerudi tena)

Joseverest is Back!! (Hatimaye nimerudi tena)

MHHHHHHHHHH ULIKUWA WAPI MBONA HUTAKI KUSEMA ULIKUWA WAPI.....KUNA WATU WALIAAPA KUWA ILE AALI NI YA KWAKO? NA KWA NINI BAADA YA KUANZISHWA KWA THREAD YA KUKUHITAJI URUDI KWELI UMERUDI AU NI ID AMBAYO IMEFUNGULIWA NA KUENDELEA KUWA HEWANI TU...

NINA MASWALI MENGI AMBAYO SINA MAJIBU YAKE.. NA KWA NINI ILIKUWA VYEPESI ID YAKO KUHUSISHWA NA KIFO CHA AJALI UBUNGO...

NA SIYO HIVYO TU KUNA WATU WALITISHIWA KUTOCHANGIA HOJA YOYOTE KWENYE UZI ULIOANZISHWA HIYO ILITOKNANA NA NINI?
JE KILIKUWA NI KIPIMO CHA KUTAKA KUJUA WHO KNOWS YOU AU LAH..

BADO NAJIULIZA MASWALI MENGI SANA LABDA NIKITULIA NITASOMA KILA ALIEYCHANGIA
Nilikuwa hapa hapa Tanzania (Arusha-Moshi-Dar) kwa shughuli zangu binafsi biashara/kazi...Wakati huo niliamua/nilipanga kuwa nje ya JF kwa mwezi mmoja ili kuweka hayo mambo yangu sawa.. Sina uhusiano wowote na Yule Jamaa Johanes [ RIP ] na sina ID nyingine.. hizo ID zinazotumia avatar yangu SIO ZA KWANGU na SIHUSIKI nazo kabisa... Jana usiku nimelog in ndio nikakuta hizo taarifa ndio maana nazikanusha..Nadhani umenielewa, siwezi nikajitekenya mwenyewe halafu nicheke kwa kufungua ID zaidi ya moja kwa maana sioni faida yake..naheshimu hii ID yangu ambayo iko verified

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom