Uchaguzi 2020 Joshua Nassari amuomba radhi Rais Magufuli kwa mabaya yote aliyomtendea akiwa CHADEMA!

Wewe yohana mbatizaji umeamua kupotosha au? Mbona maelezo yako yanaonesha kuwa ameomba radhi kama aliwahi kuwakosea, hajathibitisha mojakwamoja kuwa aliwakosea
 
Cdm wao ni 28.10.2020 mapema sana wamesha wafukuza wahamiaji
Wanaowaahidi kuwapigia kura tarehe 28 ndio waliogoma kuhakiki taarifa zao kwenye daftari la mpiga kura
28 muda kama huu tumeshamaliza jambo letu
29 mapema tunaanza celebration
 
Wanaowaahidi kuwapigia kura tarehe 28 ndio waliogoma kuhakiki taarifa zao kwenye daftari la mpiga kura
28 muda kama huu tumeshamaliza jambo letu
29 mapema tunaanza celebration
Ndoto za wakimbizi
 
Nassari ni mmeru sio mmasai anawasemea wamasai yeye kama nani, kujua lugha sio ndo kuwa mhusika
Yale yale tu,Mnyambo kusema sio muhaya,lakini kihaya anakiongea,au Msukuma kusema mnyamwezi sio mwenzangu wakati lugha zote zinafanana,
 
Achana na kitu madaraka,hizo ndio siasa,unaangalia maslahi,
Lowasa,sumaye,Slaa,Kafulila,Dr kabolou,wote walihama sembuse Nassari.
Acha kitu njaa,
Vijana wengi humu,mkiitwa mbele Waziri,ukaambiwa umkane Mzazi wako upewe kazi ya UDC,wengi. Fasta watakamata fulsa,sembuse kusimama mbele ya Raisi.sio kwa vijana wa kizazi hiki.
Waliweza kuwa na misimamo dhabiti ni PM Salim Ahmed Salim,alikuwa balozi akiwa kidato Cha sita tu,
 
Asubirie uteuzi sasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…