Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Sawa upo sahihiSio kukosa akili
Ndio demokrasia hiyo mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa upo sahihiSio kukosa akili
Ndio demokrasia hiyo mkuu
Hakika leo ndiyo nimeamini kwa 100% kuwa ccm Arusha ilisha kufutwa siku nyingi sana.
Uwanja wamejaza wanafunzi tupu
Ila wewe hunaCCM vyeo ni vingi!
Cdm wao ni 28.10.2020 mapema sana wamesha wafukuza wahamiaji29 mapema
Wewe yohana mbatizaji umeamua kupotosha au? Mbona maelezo yako yanaonesha kuwa ameomba radhi kama aliwahi kuwakosea, hajathibitisha mojakwamoja kuwa aliwakoseaMbunge mstaafu wa Chadema Dkt. Joshua Nassari ameomba radhi rasmi kwa Rais Magufuli kufuatia mambo maovu aliyomfanyia kabla hajahamia CCM.
Nassari ambaye alikuwa akiongea kimasai amewaomba radhi wanaccm na wana Arusha wote kwa machukizo aliyowasababishia akiwa CHADEMA.
Nassari amewataka malaigwanan na wamasai wote na wananchi kwa ujumla kumpigia kura Dkt. Magufuli.
"Ninamshukuru sana kijana Nassari ni kijana anayejitambua, ebu mpe 'Mic' asalimu hapa na aombe kura kwa ajili ya wabunge wengine, huyu anajitambua alijua alikuwa amekosea na mimi Nassari nakuambia nitakupa kazi, ebu omba kura kwa ajili ya waheshimiwa hawa", amesema Dkt Magufuli.
Kwa upande wake Joshua Nassari akatumia nafasi hiyo kumuomba msamaha Dkt Magufuli, "Mh. Rais mtu anayeomba radhi ni anayefahamu tendo la ujasiri na mimi naomba leo niuvae ujasiri nije mbele yako na wana Meru kama kuna mahali nimewahi kukosea ninakuomba unisamehe, ninaomba radhi kwa niaba ya watu wa Meru, mwaka 2015 katika uwanja huu niliwaomba watu hawa wapeleke kura mahali pengine".
Maendeleo hayana vyama!
====
Aliyekuwa Mbunge wa Arumeru Mashariki kupitia CHADEMA, Joshua Nassari ameomba kwa Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Magufuli kwa kuwa upinzani
Nassari alihamia CCM akitokea CHADEMA mwezi Julai 2020, miezi kadhaa baada ya kuvuliwa ubunge kutokana na kutohudhuria vikao vitatu vya bunge
Nassari amesema mambo mengi waliyokuwa wakiyasema alipokuwa upinzani yametekelezwa na Dkt. Magufuli katika muhula wa kwanza wa uongozi wake.
Sio wenye njaa?Dogo ana akili sana...! Wote wenye akili lazima wajichomoe CDM
Wanaowaahidi kuwapigia kura tarehe 28 ndio waliogoma kuhakiki taarifa zao kwenye daftari la mpiga kuraCdm wao ni 28.10.2020 mapema sana wamesha wafukuza wahamiaji
Ndoto za wakimbiziWanaowaahidi kuwapigia kura tarehe 28 ndio waliogoma kuhakiki taarifa zao kwenye daftari la mpiga kura
28 muda kama huu tumeshamaliza jambo letu
29 mapema tunaanza celebration
Uzuri hakuna atakaekua mkimbizi kwa kukimbizwa ila wapo watakaojikimbiza wenyeweNdoto za wakimbizi
Nyinyi wenyewe ni wakimbiziUzuri hakuna atakaekua mkimbizi kwa kukimbizwa ila wapo watakaojikimbiza wenyewe
Yale yale tu,Mnyambo kusema sio muhaya,lakini kihaya anakiongea,au Msukuma kusema mnyamwezi sio mwenzangu wakati lugha zote zinafanana,Nassari ni mmeru sio mmasai anawasemea wamasai yeye kama nani, kujua lugha sio ndo kuwa mhusika
Anatafuta ukuu wa Wilaya
Waliokuwa wanasubiri teuziCCM hakuna njaa Nassari na Mashinji shavu dodo!
WatakomaHata uDC hapati tena
Asubirie uteuzi sasaMbunge mstaafu wa Chadema Dkt. Joshua Nassari ameomba radhi rasmi kwa Rais Magufuli kufuatia mambo maovu aliyomfanyia kabla hajahamia CCM.
Nassari ambaye alikuwa akiongea kimasai amewaomba radhi wanaccm na wana Arusha wote kwa machukizo aliyowasababishia akiwa CHADEMA.
Nassari amewataka malaigwanan na wamasai wote na wananchi kwa ujumla kumpigia kura Dkt. Magufuli.
"Ninamshukuru sana kijana Nassari ni kijana anayejitambua, ebu mpe 'Mic' asalimu hapa na aombe kura kwa ajili ya wabunge wengine, huyu anajitambua alijua alikuwa amekosea na mimi Nassari nakuambia nitakupa kazi, ebu omba kura kwa ajili ya waheshimiwa hawa", amesema Dkt Magufuli.
Kwa upande wake Joshua Nassari akatumia nafasi hiyo kumuomba msamaha Dkt Magufuli, "Mh. Rais mtu anayeomba radhi ni anayefahamu tendo la ujasiri na mimi naomba leo niuvae ujasiri nije mbele yako na wana Meru kama kuna mahali nimewahi kukosea ninakuomba unisamehe, ninaomba radhi kwa niaba ya watu wa Meru, mwaka 2015 katika uwanja huu niliwaomba watu hawa wapeleke kura mahali pengine".
Maendeleo hayana vyama!
====
Aliyekuwa Mbunge wa Arumeru Mashariki kupitia CHADEMA, Joshua Nassari ameomba kwa Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Magufuli kwa kuwa upinzani
Nassari alihamia CCM akitokea CHADEMA mwezi Julai 2020, miezi kadhaa baada ya kuvuliwa ubunge kutokana na kutohudhuria vikao vitatu vya bunge
Nassari amesema mambo mengi waliyokuwa wakiyasema alipokuwa upinzani yametekelezwa na Dkt. Magufuli katika muhula wa kwanza wa uongozi wake.