Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Polepole amekua bilionea kimasihara sana, amegawana pasu kwa pasu pesa ya kuwanunua hao wapuuzi wote.
Njaa ina-command brain!
Ni kweli. CCM hakuna njaa, CCM ni kambi ya walafi na wanafiki. Walafi na wanafiki ni kama mbwa, bwana wake akiwa kwenye meza anatafuna minofu, yeye anakuwa chini ya meza akidakia makombo anayotupiwa. Siku ni nyingi kimbaumbau naye akaanza kunenepeana, hakuna cha ajabu hapo.CCM hakuna njaa Nassari na Mashinji shavu dodo!
Kuna mwanazuoni mmoja alisema, "kama wanasiasa wangelikuwa ni wanyama basi wangelikuwa ni nguruwe"
Mleta mada ni tapeli mno....!Kaongea kimasai? Kwanini sio kimeru?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ni mshenzi sn
Vijana wenye akili wamehama Chadema.
Wameru na Wamaasai ni kabila mbili tofauti kabisa.Ndio hao hao bwashee!
Ni kama vile wamachame, wamarangu, warombo wote ni wachaga!
Kuna tofauti kubwa ya mmeru na mmasai.Ndio hao hao bwashee!
Ni kama vile wamachame, wamarangu, warombo wote ni wachaga!
Na ma keyboard warriors wa bara wasema wanaogopa hata mgamboWakati huo huo Wazanzibari wa Pemba wasema hawaviogopi Vifaru vya Sirro
Nimekuelewa bwashee!Kuna tofauti kubwa ya mmeru na mmasai.
Haha ni makabila mawali tofauti.. yenye life style tofauti. Hata lugha ni tofauti.
Na ma keyboard warriors wa bara wasema wanaogopa hata mgambo