Uchaguzi 2020 Joshua Nassari amuomba radhi Rais Magufuli kwa mabaya yote aliyomtendea akiwa CHADEMA!

Uchaguzi 2020 Joshua Nassari amuomba radhi Rais Magufuli kwa mabaya yote aliyomtendea akiwa CHADEMA!

Mbunge mstaafu wa Chadema Dkt. Joshua Nassari ameomba radhi rasmi kwa Rais Magufuli kufuatia mambo maovu aliyomfanyia kabla hajahamia CCM.

Nassari ambaye alikuwa akiongea kimasai amewaomba radhi wanaccm na wana Arusha wote kwa machukizo aliyowasababishia akiwa CHADEMA.

Nassari amewataka malaigwanan na wamasai wote na wananchi kwa ujumla kumpigia kura Dkt. Magufuli.

Maendeleo hayana vyama!

====

Aliyekuwa Mbunge wa Arumeru Mashariki kupitia CHADEMA, Joshua Nassari ameomba kwa Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Magufuli kwa kuwa upinzani

Nassari alihamia CCM akitokea CHADEMA mwezi Julai 2020, miezi kadhaa baada ya kuvuliwa ubunge kutokana na kutohudhuria vikao vitatu vya bunge

Nassari amesema mambo mengi waliyokuwa wakiyasema alipokuwa upinzani yametekelezwa na Dkt. Magufuli katika muhula wa kwanza wa uongozi wake.
Asubiri hizo teuzi za kurubuni upinzani hana lolote Nasari.
 
Dogo angekuwa Chadema ubunge ungekuwa halali yake tena lakini akanunulika sasa anajuta kuliona game changer Lissu anavyowakimbiza mpaka hilo jiwe lao
Dogo ameambiwa atapewa kazi, yaani huyu mzee ameutafsiri uongozi kama ajira na kwa mamlaka yake anagawa vyeo kwa utashi wake na si system inayosaidia mchakato alafu yeye anafanya teuzi
 
Dogo ameambiwa atapewa kazi, yaani huyu mzee ameutafsiri uongozi kama ajira na kwa mamlaka yake anagawa vyeo kwa utashi wake na si system inayosaidia mchakato alafu yeye anafanya teuzi
Amiri jeshi mkuu. Mbowe si angejaza familia yake na michepuko yake tu maana hio kambi ya upinzani na uenyekiti wa saccos kawala kama wote.
 
Lisu naye aachane na Urais,

Atapangiwa kazi anayoimudu vyema Magufuli akishika awamu nyingine.
 
Dogo angekuwa Chadema ubunge ungekuwa halali yake tena lakini akanunulika sasa anajuta kuliona game changer Lissu anavyowakimbiza mpaka hilo jiwe lao
Yaani Lissu eti game changer?! Mualikeni Amsterdam aje ahesabu kura zenu ..ili aone mwenyewe watz walivyo jeuri...mtz na beberu na kibaraka wake hawaivi kabisa..
 
Nasari kaongea kimasai wapi wewe mleta mada hebu wacha kuandika uongo....
Hicho si kimasai na nasari si mmasai na wala hajui kimasai..
 
CCM imezidi kudumaza akiri za vijana wasiojitambua, Hivi unaanzaje kuomba msamaha kwa kufanya maamuzi ambayo wewe mwenyewe uliyafanya pasipo kurubuniwa na mtu??? Nassari ni nani alimrubuni agombee ubunge 2012??? Yaani unaomba msamaha kwa kutekeleza haki yako ya Kidemokrasia????
 
CCM imezidi kudumaza akiri za vijana wasiojitambua, Hivi unaanzaje kuomba msamaha kwa kufanya maamuzi ambayo wewe mwenyewe uliyafanya pasipo kurubuniwa na mtu??? Nassari ni nani alimrubuni agombee ubunge 2012??? Yaani unaomba msamaha kwa kutekeleza haki yako ya Kidemokrasia????
Hapo ndo ujue kuwa njaa ni mbaya..
 
JOSHUA NASSARY NI MTOTO MCHUNGAJI WA KANISA LA FPCT USA RIVER, SASA NAJIULIZA HAWA WALOKOLE WAMEPATWA NA NINI HADI KUWA WANFIKI NAMNA HII?

YULE ASKOFU WA T.A.G ALITOA HADI TUZO KWA UNAFIKI WAKE ETI MAGUFULI KAMALIZA RUSHWA. MBONA HAWAMUULIZI MAGUFULI AZORY, BEN SAANANE NA LWAJABE ILIKUWAJE?
 
Back
Top Bottom