Uchaguzi 2020 Joshua Nassari amuomba radhi Rais Magufuli kwa mabaya yote aliyomtendea akiwa CHADEMA!

Uchaguzi 2020 Joshua Nassari amuomba radhi Rais Magufuli kwa mabaya yote aliyomtendea akiwa CHADEMA!

Akae akikumbuka kuwa damu ya Mbwambo aliyechinjwa kwa chainsaw akitetea ubunge wa huyu dogo itaendelea kumlilia siku zote kwa usaliti,hata apewe cheo gani hataonja amani na furaha moyoni mwake,ataishia kujichekesha na mijino yake michafu kinafiki tu.
 
Mbunge mstaafu wa Chadema Dkt. Joshua Nassari ameomba radhi rasmi kwa Rais Magufuli kufuatia mambo maovu aliyomfanyia kabla hajahamia CCM.

Nassari ambaye alikuwa akiongea kimasai amewaomba radhi wanaccm na wana Arusha wote kwa machukizo aliyowasababishia akiwa CHADEMA.

Nassari amewataka malaigwanan na wamasai wote na wananchi kwa ujumla kumpigia kura Dkt. Magufuli.

Maendeleo hayana vyama!

====

Aliyekuwa Mbunge wa Arumeru Mashariki kupitia CHADEMA, Joshua Nassari ameomba kwa Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Magufuli kwa kuwa upinzani

Nassari alihamia CCM akitokea CHADEMA mwezi Julai 2020, miezi kadhaa baada ya kuvuliwa ubunge kutokana na kutohudhuria vikao vitatu vya bunge

Nassari amesema mambo mengi waliyokuwa wakiyasema alipokuwa upinzani yametekelezwa na Dkt. Magufuli katika muhula wa kwanza wa uongozi wake.
Acha uongo Wewe! Nasari ni Mmeru, hajui Kimasai na hakuna Laigwanani yeyote Meru, kuna Washili!
 
CCM vyeo ni vingi!
Kabisa bila ya shaka hilo tunalifahamu vyeo kwa wahamiaji vimejaa kibao

Unajua kwa nini kwa sababu vijana mliopo humo CCM ni vilaza mazwazwa akili hamna mnaburuzwa nyie kazi yenu kupiga makofi tu

Kwa sababu chama kinataka viongozi na watendaji basi inakua hakuna jinsi inabidi wanunuliwe CDM waje wawaongoze huko

We hujuilizi mbona CDM hainunui viongozi vijana inawazalisha yenyewe?

Jiulize tena kwa nini CCM mnunue viongozi vijana kutoka CDM kwa wingi kwa nini hamuwezi kuzalisha wenyewe kama CDM?

Ukipata jibu tofauti na langu hapo juu njoo uniambie mi nakusubiria hapahapa utanikuta
 
Dogo angekuwa cdm ubunge ungekuwa halali yake tena lakini akanunulika sasa anajuta kuliona game changer lissu anavyowakimbiza mpaka hilo jiwe lao

Waliingizwa chenga na jiwe atawapitisha bila kupingwa,kawatumia Kama kondomu kawatupa
 
Anabembeleza mapema akumbukwe ktk ufalme ujao,alivyokuwa hana akili anaamini hakuna siku Magufuli atashindwa.

Hizo zote njaa tu!!!
Hata akirudi asitegemee teuz coz boss wake hana cha kupoteza sababu haitaji Tena kura zetu, atamalizia kipindi cha pili kuwalipa visasi watz,kwa kumnanga
 
Mbunge mstaafu wa Chadema Dkt. Joshua Nassari ameomba radhi rasmi kwa Rais Magufuli kufuatia mambo maovu aliyomfanyia kabla hajahamia CCM.

Nassari ambaye alikuwa akiongea kimasai amewaomba radhi wanaccm na wana Arusha wote kwa machukizo aliyowasababishia akiwa CHADEMA.

Nassari amewataka malaigwanan na wamasai wote na wananchi kwa ujumla kumpigia kura Dkt. Magufuli.

Maendeleo hayana vyama!

====

Aliyekuwa Mbunge wa Arumeru Mashariki kupitia CHADEMA, Joshua Nassari ameomba kwa Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Magufuli kwa kuwa upinzani

Nassari alihamia CCM akitokea CHADEMA mwezi Julai 2020, miezi kadhaa baada ya kuvuliwa ubunge kutokana na kutohudhuria vikao vitatu vya bunge

Nassari amesema mambo mengi waliyokuwa wakiyasema alipokuwa upinzani yametekelezwa na Dkt. Magufuli katika muhula wa kwanza wa uongozi wake.
Cheap politician
 
inapaswa viongozi wote wa chadema wamuombe radhi Magufuli maaana madhambi yao yote tayari anayajua
 
Mbunge mstaafu wa Chadema Dkt. Joshua Nassari ameomba radhi rasmi kwa Rais Magufuli kufuatia mambo maovu aliyomfanyia kabla hajahamia CCM.

Nassari ambaye alikuwa akiongea kimasai amewaomba radhi wanaccm na wana Arusha wote kwa machukizo aliyowasababishia akiwa CHADEMA.

Nassari amewataka malaigwanan na wamasai wote na wananchi kwa ujumla kumpigia kura Dkt. Magufuli.

Maendeleo hayana vyama!

====

Aliyekuwa Mbunge wa Arumeru Mashariki kupitia CHADEMA, Joshua Nassari ameomba kwa Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Magufuli kwa kuwa upinzani

Nassari alihamia CCM akitokea CHADEMA mwezi Julai 2020, miezi kadhaa baada ya kuvuliwa ubunge kutokana na kutohudhuria vikao vitatu vya bunge

Nassari amesema mambo mengi waliyokuwa wakiyasema alipokuwa upinzani yametekelezwa na Dkt. Magufuli katika muhula wa kwanza wa uongozi wake.
Nasari Ni jembe💥💥✅....
 
Kwa heri Chadema

mtajuta kusimamisha msaliti wa Nchi apeperushe bendera ya Chadema Akiwaletea Chadema hata wabunge wawili mkatambike
 
Back
Top Bottom