Joshua Nassari Kumwoa Halima Mdee?

Joshua Nassari Kumwoa Halima Mdee?

Hatutaki Nassari ahamie Kawe. Wananchi wa Arumeru walimchagua ili awatumikie kwa ukaribu zaidi

Nini kitatokea iwapo mbunge wa Kawe atahamia Arumeru? Hiyo utaipenda? Nini kilitokea baada ya baba William kumuoa mama Kilango? Walihamia Same ama Mtera? Je Puis Msekwa na Anna Abdallah Je? Walihamia Masasi ama Ukerewe? Think again
 
halima alishafanya maamuzi magumu mda mrefu sana ni mwezi wa tatu sasa......
 
akuna noma, cha msingi ni kuchapa kazi waliyotumwa na wanaCDM (Wazalendo.
 
Nadhani alikua anatania 2, me kwa mawazo yangu hawaendani
 
Kama anataka mb mwenzake kuna mtoto anaitwa Raya viti maalum wa zanzibar wa ukweli, siju chakula ya nani
 
haya sasa kumekucha washapewa cha kuongea basi mbona magazeti yatamuandama joshua mwaka huu utasema anaenda kuongoza ndoa basi yaishe tuangalie utendaji wa kazi
 
Duh, wakivamiwa usiku nani atatoka nje kuokoa jahazi???
 
mara nyingi we post zako ni za kukurupuka na kutotumia akili, cha kumchafua hapo ni kipi? Kuolewa ama nini basi? Mbona ni jambo zuri na heshima kubwa kwa wenye busara? Cha msingi ni kutafuta ukweli wa hili suala na sioni kama kuna kumchafua mtu hapo! Umetaja pia magamba yamekujaje hapa, sidhani kama watanzania tumefikia kuchukiana kwa tofauti za kisiasa..!!

post gani nyingine nilikururpuka? angalia usiukalie
 
hilo litayasaidia magazeti ya udaku kama habari leo, jambo leo pamoja na uhuru kuthibitisha kwamba CHADEMA ni chama cha kifamilia. Mtu na mkewe, mtu na dadake, mtu na mkwewe etc. Maana kila siku wanajaribu kutafuta kibaya cha kuandika dhidi ya chadema hawapati, hili likitokea watachonga sana.

Hapo red, ni ukweli mtupu - ataongezeka hapa:

CDM - Utawala wa Kifalme.JPG
 
Back
Top Bottom