Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Amkung'ute makofi kwa kwenda kukua shuleni.nakusalimia kwa jina la jamhuri, unataka matokeo yake ukikuta amefeli utampa mtaj?
😂😂😂 amuache tu hayana maana tenaAmkung'ute makofi kwa kwenda kukua shuleni.
Umesema kweli kabisa CCM wapumbavu sana una akili nyingi sana weweBora wapuuzi kuliko wapumbavu
Ujumbe mdogo TU wa joti umewatoa nyoka wote pangoni .nimewaona wanavyompopoa Huko twita ,huyo ni joti TU ccm ni dude kubwa sana, ufipa yote inapambana na joti . Sasa huyo ni joti vipi ccm wakiamua kufunga Busta nyie si mtajiua ,muanze kusingizia mmetekwa ?? Kwa Nini wapinzani hamtaki wenzenu wawe na uhuru wao wa kujieleza wakati nyinyi Kila siku mnapiga kelele kwamba mnataka uhuru wa kutoa maoni? Yale ni maoni yake mbona mnakuwa watoto kwa mambo madogo madogo? Bado mnajitafuta au mnadhani nchi nzima watakuwa na mtazamo kama wenu? Acheni upopoma joti popote ulipo tafadhali achilia kombola lingine tutakupngezea ulinzi,,!
Ukianzisha Uzi lazima uwe mvumilivuMleta mada katoroka Mirembe sio bure. Akieleweshwa anatukana. Dish limeyumba totally!. Angalia anavyoendelea...
Kunywa maji ukalale mkuu, uwezo wako wa kujenga na kutetea hoja ni sifuri. Badala uongoze mjadala kwa hoja umebaki kujibizana na watu nje ya mada, umebaki kusema Dj, mara ufipa. Hii katiba si ya CHADEMA wala CCM.Katiba haiwezi kufanya chochote ikiwa nyinyi mnategemea katiba TU kazi mnayo !!! Fanyeni kazi wenzenu wanapiga kelele kuhusu katiba lakini mwisho wa mwezi wanapeana posho za kupayuka nyie mnashinda mnapayuka lakini wanaonufaika na makeleke yenu ni Mr dj
Hiyo sio hoja, achana nayo. Mbona unaonyesha uwezo mdogo sana?Narudia Tena joti hajazaliwa kimboka ila amezaliwa katikati ya miguu labda wewe ndio umezaliwa kimboka
Joti unavyoigizaga Kama Mwanamke lazima Kuna Mwamba alishapita na weweUjumbe mdogo tu wa Joti umewatoa nyoka wote pangoni. Nimewaona wanavyompopoa Huko twita, huyo ni Joti tu CCM ni dude kubwa sana, Ufipa yote inapambana na Joti.
Sasa huyo ni Joti vipi CCM wakiamua kufunga Busta nyie si mtajiua, muanze kusingizia mmetekwa? Kwanini wapinzani hamtaki wenzenu wawe na uhuru wao wa kujieleza wakati nyinyi Kila siku mnapiga kelele kwamba mnataka uhuru wa kutoa maoni?
Yale ni maoni yake mbona mnakuwa watoto kwa mambo madogo madogo? Bado mnajitafuta au mnadhani nchi nzima watakuwa na mtazamo kama wenu? Acheni upopoma Joti popote ulipo tafadhali achilia kombola lingine tutakupngezea ulinzi!
===
Alichokiandika Joti kwenye ukurasa wake wa Twitter
"Nataka siku nifanye skit ya kinyade sana jinsi katiba inaweza kushusha bei ya msosi n.k. ila nipeni ideas kwenda jotitvtz@gmail.com. Idea freshi ambayo nitaitumia nitaitaja hapa & Insta na nitamlipa aliyeitoa (Jiwe mbili safi). Iwe simpo mtu mwenye kichwa kizito kuelewa. Peji 1."
Kwa yeyote anayenufaika na mfumo uliopo, ni vigumu kudai katiba mpya. Kwa sababu inagusa maslai binafsi...hoja ya Katiba Mpya haipaswi kujibiwa na comedians.
..hii sio hoja ya kujibiwa na Masanja Mkandamizaji, Joti, Steve Nyerere, au watu wa aina hiyo.
..Suala la Katiba Mpya lijibiwe na miamba ya sheria na katiba ndani ya Ccm kama Prof.Kabudi, Prof.Mwakyembe, Andrew Chenge, na wengine wa kaliba hiyo.
Hajakosea,Sometimes wazazi wanapata shida Kwa kusomesha watoto wajinga kama huyu lofa