Joto la sasa la Dar linaweza vunja rekodi

Mkuu,
Hizo units tatu kwa siku unakuwa na vifaa gani? Yaani natamani kupata uzoefu wako, 3units kwa siku unakuwa na vitu gani?
 
Hali ya hewa imekuwa balaa, usipoangalia una~faint, mambo yakiwa magumu kabisa na uwezo wa ac huna, kuna hivi vitakusaidia walau kupunguza tatizoπŸ‘‡
 

Attachments

  • Screenshot_20231227_112942_Facebook.jpg
    21.2 KB · Views: 2
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…