Joyce Kiria Ageukia CCM

Baada ya drama zote na mumewe na kuonekana ofisini kwa mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam akidai kutelekezwa hatimaye kaamua kuhama na chama kabisa.
Hiyo ni post yake siku ya leo akifurahia kubadili gia. View attachment 758701
Chadema wamepoteza mke ndio maana Mwanahabari huru leo kuanzia asubuhi analia lia tu hapa jamvini!
 
Mithali 7:28 b, mwanamume mmoja katika elfu nimemwona; bali mwanamke mmoja miongoni mwa wote mimi sikumwona.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…